Mpaka umeandika andiko hili una uelewa kuhusu hicho ulichokiandika, tuambie kwanza kwa uelewa wako wewe unaona nini badala ya kutusukumia sisi, what is your position?
Wewe huijui Arusha ndio maana unapiga kelele, nenda kamuulize Lema ana majibu mazuri kuliko huu upuuzi wako unaoandika!
Arusha will never back kwenye siasa za kihuni chini ya wahujumu uchumi kama wewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.