Recent content by Kinjekitile junior

  1. Kinjekitile junior

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu: Nini hutokea na matokeo?

    Mpaka umeandika andiko hili una uelewa kuhusu hicho ulichokiandika, tuambie kwanza kwa uelewa wako wewe unaona nini badala ya kutusukumia sisi, what is your position?
  2. Kinjekitile junior

    Halima Mdee: ⁦⁦Rais Magufuli hivi unajua ⁩biashara ya wabunge wa Ukonga na Monduli tu iligharimu taifa Shilingi 12,449,659,588.00 ?

    Thibitisha hii kauli yako kwa kutuwekea majina na kiasi cha fedha walizolipwa itakua njema zaidi.
  3. Kinjekitile junior

    Tujikumbushe jitihada za Dkt. Kihamia kuinua elimu Arusha

    " tunayaona na tunayajua" u need therapy
  4. Kinjekitile junior

    Tujikumbushe jitihada za Dkt. Kihamia kuinua elimu Arusha

    Tena sio therapy tu uyo anahitaji atundikiwe dripu ya maji taka kabisa hana maana.
  5. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Dkt. Kihamia katajwa kwenye post na mambo aliyoyafanya Arusha au na wewe huelewi.
  6. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    wewe hoja yako ni ipi hapa?
  7. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Mkuu utateseka sana kumfikiria mabaya mtu anayewanyosha waharifu na wasiojielewa!
  8. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Unafanyiwa nini kwani? na kwa nini ufanyiwe wewe tu?
  9. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    ushahidi hakuna hapo ni suala la muda tu.
  10. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Unajifanya hujaelewa post
  11. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Hiyo kesi ilikosewa kufunguliwa hiyo!
  12. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Majungu hayalipi kabisa!! Haki, uaminifu na uadilifu humpandisha mtu!!
  13. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Hakuna upinzani ni Wachumia tumbo!!
  14. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Wewe huijui Arusha ndio maana unapiga kelele, nenda kamuulize Lema ana majibu mazuri kuliko huu upuuzi wako unaoandika! Arusha will never back kwenye siasa za kihuni chini ya wahujumu uchumi kama wewe!
  15. Kinjekitile junior

    Tume ya Uchaguzi imevamiwa?

    Mlizoea kura bila kunawa mikono! sasa mtanawa kwa lazima hakuna namna:oops::oops::oops:
Back
Top Bottom