Recent content by Kinjekitile Jr

  1. Kinjekitile Jr

    Picha: Hawa ni watu au sisimizi? Cheki maandamano ya leo ya Iran

    Jambo zuri kwa wazayuni ni uwezo wao wa kutumia akili tu……..hapo ameshajaribu baadhi ya njia zake na soon utasikia ayatollah kaanguka tuko hapa utanambia Ayatollah anaanguka hivi punde
  2. Kinjekitile Jr

    2030-2040 CCM itakuwa imekufa kabisa

    Kama CCM isipoweza kutafuta mbinu au njia mpya ya kutawala watu,uwenda miaka 10 mbele kusiwepo tena na chama cha Siasa kinacho itwa chama cha mapinduzi Zaidi ya 50% ya Watanzania ni vijana waliozaliwa Miaka ya 2000’s,yani kwenye sensa ya mwaka 2002 Watanzania walikuwa ni million 30 lakini leo...
  3. Kinjekitile Jr

    Hotuba ya mwisho ya mwanaharakati aliyetekwa mbele ya watekaji. Dunia husau haraka

    Hii hutokea Dunia nzima,watu wa mungu uwa hujitoa kwa ajili ya watu wengine……….huyu ana rehema za mungu
  4. Kinjekitile Jr

    Mnyika: Nimedokezwa na ofisa wa Polisi kuwa John Heche yupo Dodoma

    Naomba tupe source ya hii info yako
  5. Kinjekitile Jr

    Warangi Mnawaonea. Ukikataliwa na Mkenya Kaoge maji ya baharini🤣🤣

    umekutana na wakikuyu wewe au wakamba,Wajaluo uwa ni wagumu sana na wana majivuno ya kijinga mno
  6. Kinjekitile Jr

    Wataalamu wa sayansi ya vita na coup d'etat. Swali kwenu

    Kijeshi,mwanajeshi akifanya makosa uwa anaadhibiwa kwenye mahakama za kijeshi ambazo uwongo independent na hizi courts of law zingine Kwahyo anaweza akawa amewekwa kizuizini ila nyie huku nje msijue chochote
  7. Kinjekitile Jr

    Nataka kuanza Maisha maeneo ya Sinza

    Vipi ulipata hiyo chumba boss
  8. Kinjekitile Jr

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Kuna mwanangu yupo above 25 ni mwanachuo ila anaishi kwao na msela wake flani hivi ni wa kishua na huyo msela wake anaishi na mama yake pekee yao coz huyo bi mkubwa alizaa kijana mmoja tu Sasa kila akimuomba yule maza kuwa anaomba akapange bimkubwa anasema hapana asubiri kwanza amalize masomo...
  9. Kinjekitile Jr

    GE2025 Ninaiomba halmashauri kuu ya taifa kuchunguza ushindi wa mgombea aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya

    Wewe ndio zuzu tena hujitambui,me nazungumza kuhusu uhalisia wa hilo jimbo Kwa kuwa ninawaonea huruma Majaluo ya TZ lakin yenyewe hayajitambui Duniani kote huwezi ukampa mgeni awatawale nyumbani ni kuendelea kuwafanya watawaliwaa maisha yenu yote Ata Obama alipata kura nyingi sana nyumbani...
  10. Kinjekitile Jr

    GE2025 Ninaiomba halmashauri kuu ya taifa kuchunguza ushindi wa mgombea aliyeongoza kura za maoni jimbo la Rorya

    Hilo jimbo 80% ni Wajaluo lakini cha kushangaza mbunge ni msimbiti-mkurya………..Wajaluo wa Tanzania ni majinga sana Hiyo ilikuwa ni nafasi iliyobaki ya wao kutawala kwani bunge zima hakuna mbunge mjaluo ata mmoja,hakuna dc,RC,waziri,naibu waziri au ata katibu mkuu mjaluo
  11. Kinjekitile Jr

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    kwani wao wametengeneza nini???? acha akili za kijinga mzee
  12. Kinjekitile Jr

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    Huyu bi kirembwe hapaswi kabisa kupotea kwa sasa,Mungu amemleta kiongozi dhaifu ili iwe ndio mwisho wa ccm,akipotea huyu kwa sasa itakuwa ni ngumu sana kumpata kiongozi asiye kubalika na raia kama huyu anapaswa azidi kubaki mpaka october au november then bwana mkubwa lissu aje amuoneshe kuwa...
  13. Kinjekitile Jr

    Je, safari ya kisiwa ndo itakamilisha jambo la July?

    Mjukuu wa Sheikh Yahya kuna nini tena hukooo!!!!?
Back
Top Bottom