Recent content by kininki

  1. K

    live: Mkutano wa CHADEMA mkoa wa Shinyanga

    :a s 2152: Tunawapata makamamda wa ukweli picha zimekuwa zikichelewa kuwekwa fanya juu chini weka picha. Makamanda wa ukweli . Tumeanza na mungu tutamaliza na mungu. Tushirikiane kuvamia iramba magharibi imekuwa ya mwisho kutembelewa na viongozi wa juu. Tunawahitaji sana.
  2. K

    Godbless Lema asambaratisha CCM Monduli

    M4C Kwa Lowassa: Mamia wachukua kadi za CHADEMA Monduli Godbless Lema akiwakabidhi kadi za CHADEMA wananchi wa Monduli katika kata ya Makuyuni kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani. Mamia wamehama CCM na kujiunga na CHADEMA
  3. K

    Godbless Lema asambaratisha CCM Monduli

    :kev:M4C Kwa Lowassa: Mamia wachukua kadi za CHADEMA Monduli Godbless Lema akiwakabidhi kadi za CHADEMA wananchi wa Monduli katika kata ya Makuyuni kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani. Mamia wamehama CCM na kujiunga na CHADEMA
  4. K

    Dkt Slaa (na CHADEMA kwa ujumla), upole wenu utawagharimu

    WANAJAMIIFORM :- KWANZA HABARI ZENU! mi mzima! kutokana na tabia inayofanya na vyombo vya habari kuanzia TBC, gazeti la Uhuru, Gazeti la Mtanzania tukumbuke kuwa kuna vyombo ambavyo vinamilikiwa na vyama vya siasa lakini taratibu za uandishi zipo pale pale haijarishi hiyo habari ni ya chama...
  5. K

    Mbatia kukutana na waandishi wa habari leo

    Ni jambo la msingi kwa mbatia kuongea na wandishi ili wananchi waelewe malengo yake. Kweni ilikuwa zarahu kubwa sana kwake kama angekubali kuingia ndani ya tume hiyo kwa sababu waziri mkuu ni kiongozi wa serikali ndani ya bunge ambaye alishuhudia hoja ya mbatia ikivirigwa na wao wenyewe serikali...
  6. K

    Ambulance na Chopa za CHADEMA bado azijafika kutoka Uingereza au ilikuwa usanii wa Lema

    watasema sana hawana jipya wanatafua habari kwishili mbali
  7. K

    PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

    kweli mambo yamekuwa mambo kaiz kusongambele
  8. K

    How to use JamiiForums effectively

    :flypig: hellow jf mko mic u guys!
Back
Top Bottom