Recent content by kinguo

  1. kinguo

    Msaada mwenye connection ya ajira nchi za Kiarabu

    Prince Mhando ukipatq conection tupe na sisi kaka.
  2. kinguo

    Nadiriki kusema: 70% ya waTanzania tumeshaugua na kupona Corona zaidi ya mara tatu au zaidi bila kujua, nadharia ni hii

    Hii kitu itakuwa kweli maana hata mimi na mwenzangu tulikuwa na kazi dodoma. Tuliumwa mafua dizaini hiyo kichwa kuuma kwanza mwanzo tulifikiri ni mashuka ya hotel machafu yanavumbi labda ndio kilichopelekea kupata mafua makali vile. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kinguo

    Msaada; AKO Group Ltd wanaohusika na kupika wanapatikana wapi?

    Ni kampuni ya Silvesster koka alikuwa mbunge wa kibaha. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. kinguo

    Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19

    Ni kweli kabisa unayosema kwa sababu hata mimi niliugua sana mwishoni mwa mwaka jana nikiwa dodoma Sent using Jamii Forums mobile app
  5. kinguo

    Kunguni wanasababishwa na nini?

    Hasa mabasi ya mwanza yana kunguni sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. kinguo

    GE2020 Diwani wa CCM Martini Munisi, akimbilia Mahakamani kupinga Uchaguzi Mkuu ujao

    Kajituma au katumwa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. kinguo

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mbona wako wengi wenye vyeti feki
  8. kinguo

    CHADEMA, wananchi wamewachoka mtashindwa zaidi 2020. Hamna sera shawishi

    Nashukuru Mungu kwa yote yanayoendelea. Najua hata wao wameoa ila ni kwa vile tu wamepewa upofu haya hawawezi kuyaona. Ila kisasi ni juu ya Mungu aliye mbinguni. Tunashukuru na kuomba katika jina la Yesu kristu Amina. [emoji122]
  9. kinguo

    Nabii Bushiri aaibishwa na muigizaji aliyemlipa kutoa ushuhuda wa uongo stejini

    Hata watanzania wanaoiamini ccm ni sawa tu na hao waumini. Ni kuomba baraka za Mungu tutoke kwenye hii minyororo.
  10. kinguo

    CCM inatawala si kwa nguvu ya Rais Rais Magufuli bali misingi yake ni imara sana

    Si unajua tena teuzi hizi aiseee au mawazo ya bure.
  11. kinguo

    CCM inatawala si kwa nguvu ya Rais Rais Magufuli bali misingi yake ni imara sana

    Ungeweka na namba za simu na jina lako aisee fursa hii. Usiache mkuu hujachelea rudi uweke namba.
Back
Top Bottom