Management iliyopo umeidharau sana,ubora wake hujauona hata kidogo,wachezaji wanavyoandaliwa pia hujaona.
Unamaanisha ndumba bila management bora inafua dafu?
Be positive
Mkuu mbingu zimejua kukuumbua
Ushauri
Lea mtoto na mama yake kama kawaida kwa sura ya mchepuko hadi mtoto afikishe miaka mitatu au minne hapo unaweza kuongea naye akakuelewa na akaendelea na maisha yake kama ni kuolewa au la sawa ataamua yeye,sasahivi tulia kwanza maana utamuumiza atakuwa...
Siku hizi vitoto navyo vinataka mkubwa anayejua kuhudumia mzee,tafuta location nzuri na ramani ya kumpata aliyehitimu shule na hajapata kazi wala biashara miaka 23-26 hawa wako serious sana
Pole mzee,hao viumbe wana utashi wa kihisia wa hali ya juu sana umefanya kosa kumpeleka chimbo na hapo kihisia ameshajua na kwakuwa hujakiri mbele yake basi angalia namna ya kuomba radhi bila ku -declare jinai aliyoithibitisha kihisia.
Nashauri mnunulie zawadi kubwa anayoipenda mwambie...
Taa ina tabia ya ku sense umeme wa ziada ambapo hali hiyo hutokea fundi akiunganisha wire wa earth kwenye neutral yaani badala ya umeme kuvuja kupitia earth wire unajaribu kuwasha taa,pia taa inapokaribia kumalizia muda wake inaanza tabia ya kufanya kazi nje ya utaratibu ikiwemo kupunguza...
Nyuma ya pazia umri wenu bado mdogo halafu hujafuata utaratibu.Kaka mtu ni jukumu lake kufuatilia usalama wa ndugu yake ukimchapa mimba huyo bila kumuoa taabu zinahamia kwa ndugu zake na ndugu pekee atakayeelemewa ni ndugu wa kiume.
Uwe muelewa.
Ndugu nimepitia andiko lako,ila kwa uelewa mdogo nilionao juu ya biblia ni mkusanyiko wa nyaraka zilizoandikwa na wanadamu, kila waraka ulielekezwa kwa jamii fulani.
Nadhani nyaraka hizi kwakuwa waandishi ni binadamu basi zina mapungufu mengi na inawezekana baadhi zimetungwa tu.
Watu hununua au kuuza kitu kwako kwa sifa kuu tatu
1.Kukufahamu(Know how)
2.Kukupenda(Like)
3.Kukuamini(Trust)
Nje na hizo sababu,niamini mimi,ukiachilia mbali ubantu wa wabantu utapigwa tu kwenye bei maana utadondokea kwenye myego wa price discrimination.
Biashara ni mchezo wa supply chain na...
Ukitaka kuishi vizuri kariakoo tafuta winga ambaye yuko royal kwako,winga atakuumiza iwapo hamjuani wala hamjawahi kufaana kwa chochote,winga uliyewaji kumfaa jambo lake hanaga kinyongo,mimi mizigo yangu nachukua kwa mawinga wanaonipa hadi bei za kiwandani china pamoja na go dwlown zao nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.