Siku ya mwisho watazuka manabii wa uongo, ndyo hao unaowaona wanaporomosha matusi badala ya kutuambia kama tukiwaruhusu tena watatufanyia nin. Kikubwa ni kuwa drain tuu kama jipu
Wewe hauna uwezo wakuelewa hlo jambo, Kwa picha zinavyoonesha ni sehemu ya bonde so huende gari iliacha njia na kwa mshituko na mkandamizo wa uskani ukamukandamiza kifua na sehemu ya tumbo ikampelekea kupata internal bleed na mwisho kifo..
Nasema hvyo kwa fact kuwa case kama hyo nimekutana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.