Swala linaloitwa Haki kwenye nchi hii ya Tanzania? Ni kama msamiati mpya Taasisi ni kama hazitambui, Watu wanaonewa Sana wanapokwa Sana Haki zao, lakini Yana Mwisho! Vyombo vya Haki havitoi Haki, Pazeni sauti yamkini msaada utatokea na kupata Haki zenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.