Recent content by KingPower

  1. KingPower

    PostGE2025 Dada Cherry Hollister na mumewe hawajulikani walipo kwa zaidi ya wiki moja sasa

    Aisee, Hii ni hatari, lakini panakaribia kukucha
  2. KingPower

    09 December ,hawana Ujanja. Ni msumari wa mwisho kwenye Jeneza

    December 09, ni mtego hasa, hawa wameingia cha kike
  3. KingPower

    PostGE2025 Hakutakuwa na CCM baada ya 9 December 2025

    Basi na ikawe kheri, na iwe kama ulivyoona
  4. KingPower

    Dunia ina mambo: Aliyemaliza degree 2018 yupo Kitaa, mwenzake alierudia form 4 akiwa na miaka 25 na kuendelea diploma yupo Taasisi nzito

    Nimependa hapa "Pumzi ikiwepo game bado haijaisha" wengine wanasema usimkatie mtu tamaa.
  5. KingPower

    Machimbo GPT

    Nataka niwe wa kwanza kuitest product yako ikishakuwa tayari Kila la kheri Mkuu
  6. KingPower

    JINSI YA KUTUMIA CANVA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI (ONLINE)

    Je ukiwa na simu Tu? Unaweza kuyafanya yote au lazima niwe na Laptop?
  7. KingPower

    Huyu Binti Kwa kusema hivi anaweza kukamatwa?

    Ni hatari sana, Mwananchi wa kawaida akiwa aware ivi?
  8. KingPower

    "Mmeagiza Tujiajiri — Lakini Mnatumaliza"

    Swala linaloitwa Haki kwenye nchi hii ya Tanzania? Ni kama msamiati mpya Taasisi ni kama hazitambui, Watu wanaonewa Sana wanapokwa Sana Haki zao, lakini Yana Mwisho! Vyombo vya Haki havitoi Haki, Pazeni sauti yamkini msaada utatokea na kupata Haki zenu
  9. KingPower

    GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Uwajibikaji ni Jambo Jema, ila Tusiwe wepesi Sana Kuamini Watu. Kwa muda kupitia matendo yao Tutujua dhamiri yao.
  10. KingPower

    Nina serious clients wanaohitaji huduma kukosa ofisi kumekuwa "red flag" inayonikosesha pesa naombeni msaada wadau

    Nimeguswa Sana, lakini ngoja waje wadau waweza kupata msaada na kufikia lengo lako!
  11. KingPower

    Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

    Nimeuona huu Uzi Leo ni Bonge moja la shule watu tunapitia mapito Mengi Sana ila Mungu bado anarehemu
Back
Top Bottom