Chagua Mama.
Hii itakupa peace of mind maana kwa hawa wengne ambao tunaamin lazma mmoja wao atachukua utajutia kusalitiwa.
Ni bora uje kuishia hta ivyo sikuwachagua mimi.
Hali ilivyo mitaani, vijiweni na sehemu za mikusanyiko ni zomea zomea tu kwa kila anayejinasibisha na CCM na yeyote yule anaempnga Lowassa.
Nionavyo mimi si kila mtu yuko tayar kuzomewa wala kudhalilishwa hvyo kila mtu atabaki na dukuduku lake rohoni mpaka 25 October.
Sasa baada ya hapo sasa...
Wa2 waleeee majimbon huku kaz 2memwachia Duni from CUF, EL and Sumaye from CCM....
2kisalitiwa na hapa ndo ntakubali huu mtumbwi nlodandia ni wa kibwengo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.