Recent content by kingofyou

  1. kingofyou

    Kiss (Busu)

    Kiukweli mahabba/mapenzi hayana uchafu. na sio tumeiga njee, hapo nakataa! hivo vitu vipo tangu enzi lakini kutokana wao hawana aibu mambo yao hadharani ndio tunasema wameanzisha wao sie tunaiga. hapo kidogo mie nakataa. mapenzi yenyewe kama utayachunguza kiundani basi vitendo vyote ni uchafu...
  2. kingofyou

    Mdogo wangu kanisaliti

    Hayyaaaaaaaaaaaa kumekuchaaaaa ushauri ambao ni dawa nzuri kwa upande wangu... lakini kwanza mungu aniepushie mbali, lisije likanikuta! sasa dawa ni hii (japo dini yenu navosikia mke ni mmoja tu, sina uhakika).. ok sasa kwa upande huu wa dini ya ISLAM wake wa nne "MASHA'ALLAH". UAMUZI WANGU:-...
  3. kingofyou

    I hate Shorty Ladies..

    wewe mrefu? warefu wana soko pana! lol:smile-big:
  4. kingofyou

    Kiss (Busu)

    hapo ilikuwa kule kwa kina kushnei babu ji,,, watu wengi sana so ikabidi service ipatikane vile.
  5. kingofyou

    Kiss (Busu)

    haswaa... ndio cha kuzingatia...... masharti na vigezo huzangatiwa
  6. kingofyou

    Kiss (Busu)

    weekend imeanza jana!
  7. kingofyou

    Kiss (Busu)

    ukiwa katika tendo letu lileeee, ebwana ukawa unanyonya.... mbona unakuwa Dunia ile ya Mahabba iliyokamilika.
  8. kingofyou

    Kiss (Busu)

    inamaana we na mpenz wako no kiss(denda)? Hawakimbii?
  9. kingofyou

    Kiss (Busu)

    yap... full kunyonyana mate!
  10. kingofyou

    Kiss (Busu)

    ndimi kwa ndimi
  11. kingofyou

    Kiss (Busu)

    :A S angel:DENDA NA FAIDA ZAKE:A S angel: Hebu tujadili faida za denda katika mahusiano ili waliokuwa hawajui, watambue faida zake. maana wengi wanaona uchafu yaani hawaeleweki.
  12. kingofyou

    Siku moja kabla...

    Mshukuru Mungu sana,,, Dada Hongera sana kwa moyo wako. Mko wachache saana. I am a man Namuheshimu sana mwanamke, wanajali sana na rahisi sana kumuamini mtu!
  13. kingofyou

    Aayaaah BUJIBUJI kumbe ni wa KIKE

    Duh mpaka akitoka bafuni na khanga moko! Inamaana kushnei, margea sala! Bujibuji kushnei,,, jamaa kala vyake na kabainisha Kila kitu.... Dunia hii Majanga.
  14. kingofyou

    Usidanganyike na mavazi

    Namkusudia mgirik
  15. kingofyou

    Usidanganyike na mavazi

    Mkubwa unakosea badili hiyo kauli
Back
Top Bottom