Recent content by Kingkinya

  1. K

    Wafanya biashara wakubwa wamiminika Tanzania kutoka Kenya. Mazingira mazuri ya serikali ya rais Samia yanawavuta maelfu kwa mamia

    Hatuendelei kwasababu ya unafiki kila kitu samia. Chura kiziwi haeleweki KABISA
  2. K

    Maria Tsehai acha upotoshaji kusema Lissu hajalipwa stahiki zake ili achangiwe kununua V8, VXR nyingine

    Wala usihofu tutachanga TUUU. Acha roho mbaya Ni zambi
  3. K

    Zanzibar inaharibu sifa ya Tanzania

    Kidini Waislamu ni wabaguzi totally wala Mtu wasikudanye ni rahisi Waislamu kuishi sehemu ya waKristo kwa Amani na uhuru wa Dini yake kuliko mkristo kuishi sehemu ya Waislamu Nenda uingereza,Marekani,Mbeya,Spain ufaransa Canada wanadunda TUU Lakini Nenda Iran Iraq,Algeria,Morocco Zanzibar Ni...
  4. K

    Aprili 1, 2024: Gridi ya Taifa yapata Hitilafu, TANESCO waomba radhi

    Sisi Mbeya hamna umeme Toka usiku wa jana
  5. K

    Haya ndiyo maandamano ya ovyo kuwahi kutokea katika nchi yetu. Hata wanaoandamana hawajui kwanini wanaandamana!

    Kumbe na wewe uliandamana...Sisi hata yakiwa ya hovyo tutaandamana tuu
  6. K

    Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

    Mbona mwanzoni ulikubari na wengi Nyie mlisema hamna shida
  7. K

    Uwepo wa Rev. Fr. Charles Kitima kwenye utiwaji saini wa Mkataba wa DP World unahitaji majibu

    Usiwaamini Watu wa mishahara mwamini Mungu TUU,Hakuna mfanyabiashara atakayetupa utajiri
  8. K

    Kwanini wazungu wanapenda sana Waisrael na kuchukia sana waarabu?

    Ni rahisi kujenga misikiti uingereza Kwa wazungu kuliko kujenga kanisa Oman,in General waarabu ni wabaguzi kwa asili..waulize babu zetu waliowachukua ujiji na bagamoyo kuwapeleka kwao wapo??Ni rahisi kuoa Mzungu Kwa mtu mweusi kuliko kuoa Mwarabu..
Back
Top Bottom