jamani walikuwa wakizindua chanjo au hamjui km hii ni serikali ya mazinduzi wasipozindua chanjo hawatapata pa kuuzia sura bwana mkubwa kabana anataka aonekane yeye tu
dah sasa watu waombe kupiga nae picha wakati yuko uwanjani anacheza mpira?
mbali na muziki hicho ni kitu kingine anachokiweza sana kwahiyo siyo vibaya kukionesha mbele ya jamii
iko hivyo Joh anamashabiki wengi kuliko Fid na ukitaka kuthibitisha hilo angalia views za videos za Joh then linganisha na videos za Fid on YouTube lakini pia angalia followers kwenye mitandao ya kijamii ni yupi yuko juu angalia tena idadi ya subscribers on YouTube ni nani anao wengi mbali na...
ndio anafanya hivyo lakini pesa anayopata hiwezi kuwa sawa na anayopata Fid yani ile jumla kwa mwaka utakuta joh yuko juu hata YouTube videos za joh zinaviews nyingi kuliko Fid
kama ukiwaweka sokoni Joh yuko juu ya Fid hata idadi ya shows kwa mwaka mzima utakuta Joh kafanya shows nyingi kuliko Fid lakini hata mashabiki Joh ana mashabiki wengi kuliko Fid lakini kwenye uandishi Fid yuko juu lakini mashabiki wake ni wachache sana na shows zake ni chache pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.