Recent content by Kingdom78

  1. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Msaada: Eneo ambalo bibi alikuwa analima tangu miaka ya 80, kuna mtu kavamia. Nathibitishaje na bibi kafariki?

    Nimepata shahidi mmoja ambae alikuwa akimlimia bibi tokea mwaka 2000
  2. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Msaada: Eneo ambalo bibi alikuwa analima tangu miaka ya 80, kuna mtu kavamia. Nathibitishaje na bibi kafariki?

    Msaada ndugu nina mgogoro wa ardhi mahali ambapo bibi yangu alikuwa analima kuanzia miaka ya 80 na sidhani kama aliwahi kuwa na hati ya hilo eneo ila ndio mahali tumekuwa tukipata mazao ya kula kama familia. Sasa kuna mtu amevamia eneo baada ya bibi kufariki, sasa je nitaweza vipi kuthibitisha...
  3. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Ujenzi kwenye kiwanja cha 20 x20 or sqm 400

    Tag huo uzi
  4. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Ujenzi kwenye kiwanja cha 20 x20 or sqm 400

    Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
  5. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Kwanini vwanja vimekuwa bei sana kweye Mji wa Arusha

    Ww unaonaje mkuu
  6. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Kwanini vwanja vimekuwa bei sana kweye Mji wa Arusha

    Mji wa Arusha viwanja kwasasa vimepanda bei sana hasa maeneo ya Kiseriani na Moshono, Loswirai. Vipi ndugu zetu wa mkonoo kuna shida gani bei za viwanja zipo chini sana na maendeleo yako down sana shida nini maeneo hayo? Nawasilisha
  7. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mkono, Arusha

    Kwann wary wanapakataa sana mkonoo na maendeleo hakuna muda mrefu
  8. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli gari aina subaru zinakawaida ya kupungua oil

    ni mashine tamu sana
  9. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli gari aina subaru zinakawaida ya kupungua oil

    ikale oil mbale kwa mbale
  10. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli gari aina subaru zinakawaida ya kupungua oil

    Inapungua ila uwezi ona inapovuja wala kujua tatizo ni kwa urahisi
  11. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli gari aina subaru zinakawaida ya kupungua oil

    wadau wanasema subaru impreza ikifika tu 120,000 kuendelea inaaza kula oil kila baada ya kutembea km 20000 or 3000 na hii inanzia gari za 2010 kwenda chini
  12. Kingdom78

    JamiiForums Tanzania Natamani kununua Subaru Impreza, nini changamoto zake?

    hii inaweza kuleta tatizo kwenye engine
Back
Top Bottom