Sawa , lakin tatizo la nchi hii sio vyeo tu kiongozi, Mambo yanafanywa bila uwazi na uwajibikaji,
Tunaweza tukapunguza vyeo, wachache watakaobaki wakajirundikia mali za nchi kuliko kawaida.
Tatizo ni mfumo, kwa mfano je, kuna uwazi katika uwasilishwaji wa Mapato na Matumizi ya Fedha kuanzia...
Nchi haiendeshwi kwa kwa idadi ya watendaji bali kwa Mipango na Mikakati ya kukuza Maendeleo ya watu na vitu...
Tatizo letu ni kwamba mambo yanaamriwa na wawakilishi wetu(Wabunge) bila sisi kushirikishwa...
In short hakuna uwazi na utoaji wa mawazo kwa wananchi bali kuna maamuzi na...
Habari zenu!
Leo napenda kushare Fukunuzi moja watu husema "Mtoto ni mtumwa wa Mali za Urithi wakati akiwa mdogo Lakin ajapokuwa na kuzijua haki zake Ndipo Huwa bwana wa yote".
Tatizo lililopo katika usemi huu sio utoto, Bali ni kuzijua haki zake na kusimama kidete ili azipate.
Kuna...
Habari wa jf wenzangu,
Kwa mujibu wa hotuba ya mheshimiwa rais ya tarehe 6April2021. Nmesikia mama amezungumza mengi lakini muelekeo wake najaribu kuuhusianisha na kaulimbiu ya mzee wa dakika 90,bwana Membe,
Je,kwa mujibu wa hotuba ile ni kweli inawezekana BCM nae akawa mshauri maana...
Ni kweli mifumo ni mibovu lakini wabovu wanajificha nyuma ya pazia,
Hii itasaidia katika kufanya upembuzi ili kuwajua wabovu na kuwaondoa kwenye mfumo ili Kazi Iendelee.....
Nchi inahitaji watu wenye maono kwa ajili ya Watanzania,
Tanzania sio ccm au upinzani,Tanzania ni sisi wananchi,
Kitu kikubsa ambacho kinaweza kumbeba mama ni ukweli,uwazi na uwajibikaji.
Upinzani huwa wanapata hoja pale mambo yanapopelekwa ndivyo sivyo.
Kikubwa haki italiinua Taifa wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.