Recent content by King123456789

  1. K

    Rais Magufuli, kauli yako inaenda kuizika elimu ya juu

    Tanzania Tanzania Mungu tubaliki na tuoneshe njia ya kwenda
  2. K

    Kisa cha mchumba wangu kukataa nisishike Android yake, japo nilimununulia mimi pale Mlimani City

    Pia kumbuka huyo ni mchumba kaka. Tafuta ujue maana ya uchumba.
  3. K

    Kisa cha mchumba wangu kukataa nisishike Android yake, japo nilimununulia mimi pale Mlimani City

    Halafu mwanamke mwenyewe ni mchumba tu bado anasaka wanaume wa kumuoa huyo. Anaona wewe inawezekana huoneshi nia wala mwelekeo wa kumuoa. Jiongeze kiume kaka
  4. K

    Wanawake mabikra tukutane hapa

    HONGERA SANA. ENDELEA NA MSIMAMO WAKO HUO MAANA UKIONJA TU NDO UMEENDA NA MAJI EEE
  5. K

    Tabia ya mke wangu kuniaga 'naenda kulala', sijaipenda

    NAHISI UNA TABIA YA KUKAA SANA SEBURENI BILA KWENDA KULALA MAPEMA NA MKE WAKO. INAWEZEKANA AMEONA NI BORA AKWAMBIE HIVYO NA MARA NYINGI AKIKUMBIA HIVYO UJUE ANAHITAJI UMFUATE ILI UMPE HAKI YAKE
  6. K

    Wadada wanaokimbia ndoa zao na kwenda kuzaa nje, jifunzeni kwenye mgogoro wa Zari na Marehemu mumewe

    Tatizo kizazi hiki kimekuwa zaidi cha dotcom na mapenzi yamekuwa kama mchezo wa kuigiza kwa baadhi ya wapenzi na wanandoa wengi
  7. K

    Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa

    Ebu muite na uendelee kuongea naye inawezekana ana hasira tu za muda mfupi. nafikiri wewe ni mwanamke mzuri wa ndoa
  8. K

    Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

    Hivi wasanii wa bongo wa movies wameshindwa kuwa wabunifu hadi tufikie hatua ya kuuza movies za nje. Huwa nafuatilia movies hizi za bongo na napenda sana lakini kuna mapungufu makubwa hasa baada ya kufariki kwa Kanumba. Wasanii wawe wabunifu zaidi na hii itasaidia zile movies za nje kutoka tu...
Back
Top Bottom