pitia na baadhi ya post humu jamvini kama alivyoshauri Ndugu barafuyamoto, Ila kwa hali ilivyo sasa bei zimepanda vifaranga vilikuwa 1100 Ila kwa sasa 1300, chakula kizuri kilikuwa 42000 Ila sasa hivi 46000 jitahidi kuweka order mapema za vifaranga usidanganyike kununua chakula cha bei rahisi...
inategemea na idadi ya Kuku unaotaga kuanza kufuga, kwa mfano kwa hali ya sasa ilivyo Kuku 400 broiler inahitaji mtaji wa sh 1,600,000/= vifaranga
400×1300=520000
chakula magunia 25×46000
madawa=50000/=
nakutakia kila la heri kijana mwenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.