Pole sana ndugu, nafaham jinsi inavyosumbua iyo hali,Hauko pekeako , jitahidi utafute msaada wa kisaikolojia, lakini pia wa kiroho.
Na kamwe usiruhusu mawazo ya kuona huu ndio mwisho, kila mtu kaletwa duniani atimize kusudi flan, ikiwa upo hai basi tambua bado una nafasi ya kulitimiza ilo...
Aise kweli, kwa hili nasema ni Mungu tu.. Maana kwa asilimia zotr niliona dalili, yaan tena zinakuja kwa mpangilio kabisa, kinaanza hiki kinafuata hiki.. Huu kwangu umebaki ushuhuda, sio ujanja wangu aise..
Wakati mwingine maisha huendeshwa na bahati, kuna mda moyo unakataa kabisa, imewah kunitokea pia, nipo lodge tena hakuwa dada poa, alikuwa pisi nzuri tu ila tokea tumefika tumepiga story ghafla moyo ukawa mzito kupiga nae show, kiukwel ilitokea vita kubwa kati ya nafsi na mwili kukubali...
Aise iyo sijawahi kuthubutu na wala sijawah kutana na dada poa aliyetaka 0712.. Kwanza kuna madhara makubwa hasa kwa mwanaume. Sema wengi wanapuuzia. Siwezi kamwe kuogelea maji ya mtaroni😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.