Recent content by King Offset

  1. King Offset

    JamiiForums Tanzania Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

    Pole sana, hakuna mwanaume ambaye anampenda mwanamke akafanya kitendo cha kikatili kama hicho, lakini pia nahisi kutakuwa na red flag ambazo ulishindwa kuziona hapo awali. Naomba nikuulize maswali machache, Nini kilikuwa kinatokea baada ya sex, i mean alikuwa anakuthamini na kukucare baada ya...
  2. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

    Tattoo zinafutika usijal, kuna serum nyingi unaweza kununua ata wewe mwenyewe ukajifuta
  3. King Offset

    JamiiForums Tanzania Ameniambia nichague kati yake na JF

  4. King Offset

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

    1st of all i dont give a F*ck about what you think. Kwaiyo pita kushoto
  5. King Offset

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

    Yah, nmekusoma ila naona watu weng wanacomment shombo nyng that y nmesema ivo
  6. King Offset

    JamiiForums Tanzania Kuanzia leo sintosaidia mtu humu

    Pole sana Unique Naona huu uzi wa 2, umeandka umechafukwa na roho nahs kunasabab ndan yake. Uzur wake ukiangalia ata mtiririko wa comment za baadh ya wa2, inaonysha waz baadh yao wnyw wanajshtukia na kujshuku uchawi.😎
  7. King Offset

    JamiiForums Tanzania DOKEZO TRC, mtanitafuta kwa uchochezi au Mkurugenzi Mkuu Kadogosa utanishukuru mimi na JF? Treni imefungwa kwa waya!

    Nlkuwa nina hamu ya kupanda ayo matren lakini nlivoona ivo nmeishiwa na nguvu kabsaa 🙆🏻‍♂️🤕
  8. King Offset

    JamiiForums Tanzania Mke kaendelea kuhama chumba na kulala na watoto. Nimfanyaje mtu kama huyu?

    Mkuu naww nenda kalale uko uko kwa watoto, mambo yasiwe meng...
  9. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina laki sita, nifanye biashara gani?

    Ila kumbka conternal jpya chuo huwa aslmia kubwa huwa wanashda ya pc na cm ,kwaiyo inabd uweze kuwazoea watu fasta, kuwa charm, kuwa smart
  10. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina laki sita, nifanye biashara gani?

    Ila kuwa makn sana
  11. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina laki sita, nifanye biashara gani?

    Gud luck😊
  12. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina laki sita, nifanye biashara gani?

    Tafta watu umu jamii forum wanaweza kukusaidia kwa ilo
  13. King Offset

    JamiiForums Tanzania Nina laki sita, nifanye biashara gani?

    Kwanini usifanye biashara ya uwakala ndani au nje ya chuo na kuuza vocha, mtaji hauzidi hata lak 2.5. Kuna wngn enz izo chuon walkuwa wanauza laptop na cm , walkuwa hawana maduka but walkuwa wanaenda k/koo kunajamaa walkuwa wanawafaham uko hvyo kaz ilkuwa kupga pcha zle cm na laptop kwny maduka...
  14. King Offset

    JamiiForums Tanzania Treni ya umeme naona imeanza kazi

    Naomba nfunge huu uzi kila mmoja aende bch kuumwagilia moyo..😅 WAZIRI MKUU AWATAKA WATANZANIA KUTOFAUTISHA BEHEWA ZA KAZI NA MABEHEWA YA LUXURY
  15. King Offset

    JamiiForums Tanzania Treni ya umeme naona imeanza kazi

    Uzuri wa hii nchi bhn, watu wanapga matukio mchana kweupe na hakuna wa kumuuliza. Tutasahau na hili tu watu walpga mshndo kpnd icho epa wengn wakasema mil 500 ela ya mboga
Back
Top Bottom