Ndugu watanzania,
amani iwe kwenu,awali ya yote napenda kuwashukuru kwa uvumilivu wenu kwa kipindi chote hichi cha uchaguzi,sababu kuvumilia kwenu ndo msingi wa amani hii inayotamalaki sasa. Kuna msemo unasemaga "amani haiji kwa ncha ya upanga''
ndugu zangu tumeshampata kiongozi wetu wa nchi...