ufumbuzi upi wakati hata kwa maneno yako unaonesha wazi ulivyonogewa ndio maana hujaoa mpaka leo kwa sababu unajua pa kupunguzia haja zako lakini kaa ukijua yule ni mke wa mtu na ana mtoto kwanini usimuepuke hata kwa kufunga mawasiliano naye na kuhama machoni pake mwisho kumbuka muosha uoshwa pia.
we ulizama zaidi kwa game za nje mkeo ukamuacha ss we unafikiri nan wa kumtoa hamu halafu hao unnaowala kitaani ujue nao wameolewa je unataka useme waume zao hawapati maumivu?
Rais wetu inasononesha sana pale uliposema hata baadhi ya maendeleo makubwa mfano mfuo wa umeme wa sg unakwamishwa na wasomi wetu na wataalum na ambao hata masomo yao wengine walifadhiriwa na nchi hii hii mi nachomuomba mh. rais asiangalie maneno ya wakosoaji wachache wenye kuropoka kila siku...
Mfalme nimeachana na ukapera nimeamua mwenyewe nifunge ndoa ya mtandao na jamii forum so wanamember naomba michango yenu ya ukaribisho kwa champaign nyingi tehtehtehtehteh
pole ila jaribuni kukaa chini na mumeo maana bado we ni mkewe wa ndoa na pia muone ni jinsi gani ya kumsaidia huyo binti hayo mambo kwenye ndoa yanaleta changamoto sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.