Habari wakuu, naomba msaada
Kila nikijaribu kuingia kwenye account inaniandikia "access denied make sure you provide correct username and password" najaribu ku reset password lakini bado inagoma nifanye nini? na je hii changamoto iko kwangu tu au na wengine mmekutana nayo?
Kila nikijaribu kuingia kwenye account inaniandikia "access denied make sure you provide correct username and password" najaribu ku reset password lakini bado inagoma nifanye nini? na je hii changamoto iko kwangu tu au na wengine mmekutana nayo?
Nimerudishwa kwenye matumizi makubwa ya umeme, nimezidisha kununua umeme bila kujua maana nilikuwa nalipia kidogo kidogo, nifanyaje ili nirudi kwenye matumizi madogo naomba msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.