usimusishe Muumba kwa hawa waongo wabinafsi........mtatunga theory kibao....all in all hatutaki ya umwagaji damu kisa kulazimisha mabadiliko.....shame on y'all who believe in blood shed...tena shameeeee...this mamvi hata akishindwa oct...bado atafosi kwa vurugu..sasa who will fight ..ni nyie...
we must be careful of this people...namfaninisha mbowe na mke..ambae ameshindwa ridhika na mumewe..akaamua kufuata bwana mwenye pesa na kumuacha bwana wa zaman...alafu huyu mzee ni mgonjwa anatetemeka jaman.....haya wafuasi wa mgonjwa
wengi hawatazami mbele...wana furahi simply emotions zimeguswa...jiulize at any cost they want this country...sio ukawa edo na timu yake kina rosta....in return wakiingia madarakani...nani anajua what will happen next....ogopa sana mageuzi yenye msukumo wa kifedha...haya sio mageuzi...
this guy anefananisha CIA na hao watu plzzzzz don't let your emotions clouds your intelligence brother.....nashangaa Africa tunashabikia watu badara ya sera....leo naona mkakati ni kuiondoa ccm....what about health ...esucation...kibaya zaid our currency...Mungu haribu ujinga wetu kwa maarifa...
tatizo ni kwamba watu weusi tuna uwezo mkubwa sana lakini tatizo lipo katika the how to use our mind nakujitumaa. weng wanataka mambo mazuri pasipo hard working.. jaman huwez kwenda pepon bila kufa.. huwez pata mafanikio ya kweli bila hard working
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.