Recent content by king mkali

  1. K

    Ili uolewe mapema mdada tumia mbinu hii matata....

    Write your reply...halafu Ukishafanikiwa kuolewa usisahau kurudia Tabia yako ya zamani maana itakufanya uachike haraka iwezekanavyo...
  2. K

    Wanaume msihangaike na madawa ya kuongeza nguvu za kiume

    Write your reply...inawezekana yote uliyosema ni kweli ila kukimbia km 16 kwa cku nafikiri hapa ndio uongo wako ulipoanzia ..HV mkuu unamaanisha km 16 kwel au mi ndio mi ndo cjakuelewa vizuri
  3. K

    Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

    Tusi nzito lenye vitamin ... [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1] hii ndo nimeiskia,leo tangu mwaka uanze .. Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  4. K

    Natamani kumuacha, mambo yamebadika, sina hamu nae tena, namuona wa kawaida mno

    Katika maelezo yako mi cjaona sehm uliyoandika sababu ya kumuacha labda ueleze kwa nini unamwacha wakati we mwenyewe unakiri umemfukuzia mwaka mzima . Leo anaonyesha real love wataka kumuacha
  5. K

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    Yaani we mwanamke una balaa mana si kwa uchepukaji huo..watu saba yani hii ni hatari aise....lakn bado cjui unataka Ushauriwe nn juu ya ujauzito ulionao au labda mi ndo cjaelewa Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  6. K

    Nililishwa chakula chenye sumu safarini, nilisafiri kwa mateso na kufika kwa mbinde sana

    Nimecheka kweliiii muharo kweli sio mchezo mchezo..eti unaweza kuharisha hadi utumbo na vitu vya ndani.. Kama hii ni true story kweli Inatisha inatakiwa uwatafute bongo movie waandae script..but pole kwa yaliyokusibu kufa hukufa ila cha moto ulikiona...
  7. K

    Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

    Bata,ukichunguza,sana huwez kumla mwisho utaamia kwa kuku kumbe kuku nae pia ni mchafu hivyo hivyo kama bata .. Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  8. K

    Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

    Mwenzetu naona unamaliza mwaka vizuri kwa full malavidavi Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  9. K

    Arsenal vs Manchester United

    Arsenal pole yao furaha ya Jana lazima iwe huzuni WA jumamoc...mana lazima wafungwe tu ..
Back
Top Bottom