Recent content by king majuto

  1. K

    Wizara ya Madini inachosha sana utoaji vibali vya kusafirisha makaa ya mawe

    BInafsi sioni kama kiutendaji na kwa kasi ya maendeleo ya nchi yetu inafaa. Sisi wasafirishaji wa makaa ya mawe Toka Songea na kupeleka sehemu mbalimbali ya hapa nchini na nchi jirani tunasikitika Sana na mwenendo wa utoaji vibali vya MADINI vinavyotolewa na WIZARA kubwa kama hii. Utakuta...
  2. K

    Uhamiaji Tanzania badilikeni

    Duh! Umenikumbusha mbali Sana nilienda kufanya interview kampuni moja hapa bongo wakawa wananiuliza maswali ya kipumbavu Sana eti mbona umesoma Sana kwanini? Niliwashangaa.
  3. K

    Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Wadau natafuta mganga bora kabisa atakaeizindika nyumba yangu kwani wachawi wananisumbua Sana usiku.
  4. K

    Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

    Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
  5. K

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Uzaifu MUNGINE hakai kabisa makao makuu ya nchi akikaa Sana siku tatu anarudi baharini kupunga kaupepo wakati mwendazake alikuwa anakaa mwenzi mzima anaotea jua juu ya mawe huyu amezoea UPEPO kuangalia mijusi ikikimbizana juu ya mawe hataki
  6. K

    Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

    Ukuu wa wilaya unatakiwa wateuliwe watu wezima wenye busara sio unamteua kijana Mdogo Unaenda kumpatia ukuu wawilaya sio poa kabisa
  7. K

    Tusiligeuze Taifa letu kuwa la wamachinga, huu ni mtego mbaya wa umaskini

    Hawa wamachinga wanaowabembeleza kama watoto wachanga huko mbeleni watakuwa kuleta shida kubwa Sana kupelrkea hata vikundi vya kiuhalifu nchini inabidi hilo bomu walizibiti mapema Sana kabla halijalipuka
  8. K

    Tusiligeuze Taifa letu kuwa la wamachinga, huu ni mtego mbaya wa umaskini

    Tuangalie majiji ya wezetu mfano kwa jirani zetu Kenya hakuna upuuzi wa vibanda hovyo hovyo kama hapa kwetu watu wanajenga vibanda mpaka wanakalibia Ikulu?
  9. K

    Uliza Swali lolote kuhusu Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania)

    Kwani Dodoma Kuna daladala?naona kama vile singida tu wanaotumia Sana bajaji ngoja nije nitembee siku moja nikague kama zipo daladala nilete HICHER yangu
  10. K

    Uliza Swali lolote kuhusu Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania)

    Mafala waje dar wajifunze kwa wezao walivyoshap
  11. K

    Uliza Swali lolote kuhusu Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania)

    Madereva wa daladala bado mafala ukiuona hivyo
  12. K

    KIOO LIMITED SANZA ROAD

    Menejiment ya kioo limited kiwanda cha kutengeneza chupa natoa maoni juu ya uongozi upande wa usafirishaji haswa kwa mtu anayeitwa mwalimu huyu mtu atawakosha madereva bora na wenye viwango vya hari ya juu kwa roho yake mbaya anafanya kampuni kama ya baba yake dereva hata ukizi vigezo vyote yeye...
  13. K

    Wizi mkubwa hufanywa na wenye maduka ya kuuza dawa za binadamu(Phamacy)

    Watu wa PHAMACY ni wezi wa kutupwa, nawaomba hasa wanaotumia Bima ya Afya mjihadhali wagonjwa kupunjwa dawa ukiandikiwa dozi ya dawa na doctor jitahidi I kujua kiasi cha dawa utakazoandikiwa na hiyo dawa ni dozi ya siku ngapi, ukikurupuka ukitoka pale PHAMACY kama umeandikiwa doziya siku nne na...
  14. K

    TBC Taifa mna tatizo gani?

    Nimefanya uchunguzi wangu Mdogo tu nimegundua wananchi wengi hawapendi kusikiliza taalifa ya habari ya Redio ya Taifa wengi wanapenda Sana Taarifa ya habari ya Redio One, sijui Redio ya Taifa wamefeli wapi? Tofauti kabisa na miaka ya nyuma miaka ya 1970 mpaka miaka 1990 watu walikuwa wanapenda...
  15. K

    Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

    Huna hoja ya wewe umekalia MAJUNGU tu
Back
Top Bottom