Recent content by King Kitambulio

  1. K

    Milambo high school alumni

    Kumbe wadau wa Milambo mpooo!!! Kuna mdau nimemsoma kuwa alikuwa EGM 2007 ni nani huyo? Maana mimi mwenyewe nilikuwa EGM mwaka huohuo nilikuwa EGM FORM V. Maana nakumbuka kale kabango kaliko aandikwa DH kuwa "MILAMBO IS THE TOP OF THE TOPS". Nilikuwa bweni la Sokoine, Milembe moja.
  2. K

    Milambo high school alumni

    Kumbe wadau wa Milambo mpooo!!! Kuna mdau nimemsoma kuwa alikuwa EGM 2007 ni nani huyo? Maana mimi mwenyewe nilikuwa EGM mwaka huohuo nilikuwa EGM FORM V. Maana nakumbuka kale kabango kaliko aandikwa DH kuwa "MILAMBO IS THE TOP OF THE TOPS". Nilikuwa bweni la Sokoine, Milembe moja.
  3. K

    Risasi zarindima, Majambazi wawili Raia wa Italia watiwa Mbaroni

    Kumbe polisi walifanyakazi kwelikweli hadi kuwatia nguvuni hao jamaa!!!!
  4. K

    Ni halali kulipa faini zaidi ya Sh Elfu thelasini? Polisi Itutafsrie Hizi Faini za Barabarani!

    Mimi si msemaji. Ila Kama unamakosa ya KUBEBA MZIGO KWA NJIA YA HATARI na KUENDESHA GARI TAIRI BOVU, hayo yote unapaswa uyalipie.
  5. K

    Mahakama ya kadhi kuanza hivi karibuni

    All in all, 1-Sheria hizo hazitawahusu wasiokuwa waislam. 2-Kama mtu hatapenda kwenda kwenye mahakama ya kadhi, basi halazimishwi. 3-Ikumbukwe kuwa kwa mujibu wa sheria za ndoa, zipo ndoa aina tatu: ndoa ya dini, ya serikali na ya mila. Kwahy kama mimi nimeoa kwa mujibu wa ndoa ya DINI...
  6. K

    Mahakama ya kadhi kuanza hivi karibuni

    Muhalifu siku zote hawezi kutetea uwepo wa kituo cha polisi wala polisi.
  7. K

    Mahakama ya kadhi kuanza hivi karibuni

    sahihi shekhe wangu. Siku zote muhalifu hawezi kupenda polisi wala kuwepo kwa kituo cha polisi, lazima atapinga kuwepo kwa kituo cha polisi tu.
  8. K

    Mwanasheria Mkuu: Serikali haitagharimia Mahakama ya Kadhi

    si kweli, mahakama ya kadhi inatumia vitabu vya kiislamu/qur`an kwahiyo hakuna sheria ya kiislam inayosema kwamba mwanamke harusiwi kuolewa hadi kaka yake akubali na wala hakuna sheria inayosema mwanamke akipewa talaka asiondoke na kitu chochote, swala hilo si kweli na ni uzushi tu. Na anayesema...
  9. K

    Nigerian Army General, Others Arrested Over Baga Attack

    Ni sahihi, si dhani kama kuna haja ya kuanza kzungumzia mambo ya KADHI. Kama huoni au hujui kazi za KADHI, ni vema ukanyamaza. Maana KITANDA USICHOKILALIA, HUWEZI KUJUA KUNGUNI WAKE.
Back
Top Bottom