Recent content by King Bill

  1. K

    JamiiForums Tanzania Maandalizi ya kutawala mpaka kifo yalikuwa mengi

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  2. K

    JamiiForums Tanzania Musukuma: Mke wa Diallo alipewa Ukurugenzi na Hayati Magufuli. Asema alimsaidia Star Tv ilipofungiwa na TRA

    Diallo hawezi kuwa mjinga hata siku moja. Wewe taga ndie mjinga. Nyie chawa wa mwendazake hamjitambui kabisa.
  3. K

    JamiiForums Tanzania SoC01 The Rise of new Intra-Africa Trade

    Thanks Mr Kelvin for a nice post![emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  4. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

    [emoji106][emoji106][emoji106]
  5. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

    We naye na Sabaya wako huchokagi tu. Kamsalimie jambazi mwenzio kisongo.
  6. K

    JamiiForums Tanzania 15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

    Believe me,hii mipango yote ya kodi na bajeti nzima ya 2021 JPM aliacha ikiwa imekamilika. Kama bajeti hii ni nzuri credit ziende kwa JPM. Kama ni mbaya lawama ziende kwake pia.
  7. K

    JamiiForums Tanzania 15 Julai, 2021; Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kasi sana na watu wa kada zote

    [emoji106][emoji106][emoji106]
  8. K

    JamiiForums Tanzania Antony Mtaka aambiwe kwamba sera ya elimu ni ya kitaifa na siyo mkoa kwa mkoa

    Wewe ndiye unayetia aibu. Taifa haliwezi kuendeshwa bila utaratibu kwa kila mkuu wa mkoa kupanga utaratibu wake. Kila mkoa ni lazima utekeleze sera za nchi.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Antony Mtaka aambiwe kwamba sera ya elimu ni ya kitaifa na siyo mkoa kwa mkoa

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji817]
  10. K

    JamiiForums Tanzania RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

    Hilo povu la nini mkuu! Acha matusi na vitisho. Serikali hii haiwezi kushindwa kufika kwa sababu ya mtu mmoja! Hayo ni masihara kabisa. Hoja ya msingi ni kuwa Mtaka amekosea sana kumshambulia waziri mwenye dhamana ya elimu hadharani . Waziri ndie msimamizi wa sera ya elimu na miongozo. Waziri...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Dodoma: RC Antony Mtaka amchana Waziri wa Elimu kuhusu mwisho wa Watoto kusoma kuwa ni saa tisa

    Umenena vyema sana. After all,msimamizi wa utekelezaji wa sera na miongizo ya elimu ni waziri. Alichokisema waziri ndio mwongozo uliopo. Kama wananchi wa DODOMA wanataka kufanya utaratibu ambao ni kinyume na miongizo,kama kuna masilahi,siyo jambo baya. Lakini kumshambulia hadharani waziri...
  12. K

    JamiiForums Tanzania CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti

    Kwenye uraia wa ANTONY NG'WANDU DIALLO Bollen Ngeti anapotosha,au makusudi au kwa kutoujua ukweli. Uncle Tony ni msukuma original wa Ntunzu. Kwa sababu hiyo uraia wake hauna utata wowote. Ni mtanzania kabisa.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Muundo na maana ya Hadithi fupi

    Emma umetisha! Au umeutoa stoo? By the way,andiko lako ni zuri. Kura yangu moja umepata. Sijui mfumo wa upigaji kura uko namna gani.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Dodoma: RC Antony Mtaka amchana Waziri wa Elimu kuhusu mwisho wa Watoto kusoma kuwa ni saa tisa

    [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
  15. K

    JamiiForums Tanzania Serikali itoe tamko suala la maziko ya watu waliokufa kwa COVID-19 au waliokuwa na changamoto ya upumuaji

    Wewe utakuwa kichaa kabisa kama wale aliowasema Diallo!
Back
Top Bottom