Musukuma: Mke wa Diallo alipewa Ukurugenzi na Hayati Magufuli. Asema alimsaidia Star Tv ilipofungiwa na TRA

Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.


Kweli huyu la 7.

Halafu kamtusi Magufuli eti "kajamaa"!!
 
Nyumbu wako chadema ambako lisu na mbowe +lema ni miungu na ma genius wao.
Kwa CCm hakuna nyumbu na ndo maana unaona wana ccm wanabishana wao kwa wao na kuchimbana biti, hakuna mungu wa chama pale.
Kinachotakiwa ni heshima tu.

Sasa hayo yatokee chadema lazima mtu afe au aitwe msaliti na kutupiliwa mbali hata bila utaratibu wa katiba yao.
( covid 19)
Chadema ni wajinga sana
 
na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya
Very narrow thinking, in so saying kumbe watu wanapewa vyeo kama msaada na siyo kuwatumikia wananchi, kwahiyo Msukuma tangu Dialo aseme yake majuzi ulikwenda chimbo na hizi ndiyo nondo ulizotoka nazo?
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.

Hoja ni FAILI MILEMBE MKUU
 
Huyo Dialo kama yuko kamati kuu ya ccm ni mtu hafai huko anajiwakilisha kwa maslahi yake ya kibiashara. Halafu ni mjinga cheti feki.
Diallo hawezi kuwa mjinga hata siku moja. Wewe taga ndie mjinga. Nyie chawa wa mwendazake hamjitambui kabisa.
 
Ka

Kama wewe mwenyewe ambaye hujui huku unajifanya kujua kama msukuma mjinga.
Huyo mtu wenu Msukuma ni mjinga tu, kutokuwa na akili ya kupima mtu anayaongea hadharani ni dalili mbaya ya kutostaarabika.
Sasa tunajua kuwa kuna watu walikuwa wanapoozwa wasimhambuie Mwendazake.Na walikuwa wakifanywa hivyo kwa vile wanatoka kanda pendwa?
Upendeleo huo au ubaguzi huo mbona watu wa Kimara hawakuupata.
Msukuma naye si mwanasiasa, anateteaje mambo ya kijinga kama hayo.
Utanzania kwanza.
 
Gombea na wewe ubunge uone kama wananchi wanaweza kuchagua jitu jingajinga kama wewe.
 
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.


Tatizo la huyu ni shule aende shule kwanza
 
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.

Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.

Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.


Kwa matendo aliyotenda Mwendazake ni viumu sana kumtetea ndiyo maana huyu Msukuma amesema kuwa Diallo asiongee kwa vile alimpatia mke wake cheo cha DED. STUPID argument
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom