rich gang
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 1,552
- 908
bado unatapatapa tu?Na mbowe anawatoa punda wake kwa kasi gerezani ili waendelee na cocaine distribution.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado unatapatapa tu?Na mbowe anawatoa punda wake kwa kasi gerezani ili waendelee na cocaine distribution.
Ule ubaguzi aliousema Hayati Baba wa Taifa wa waZanzibari na waZanzibara alimaanisha and beyond, tusubiri tutashuhudia mengiMta paruana sana na badooooo.
'Msukuma ni mjinga sana .
Kwa hiyo wasukuma wote walipendelewa au siyo.
Tatizo la kuwa na watu wanaojidai wajanja huku hawaoni madhara ya wanachoongea ni hawa punguani.
Mbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Chadema ni wajinga sanaNyumbu wako chadema ambako lisu na mbowe +lema ni miungu na ma genius wao.
Kwa CCm hakuna nyumbu na ndo maana unaona wana ccm wanabishana wao kwa wao na kuchimbana biti, hakuna mungu wa chama pale.
Kinachotakiwa ni heshima tu.
Sasa hayo yatokee chadema lazima mtu afe au aitwe msaliti na kutupiliwa mbali hata bila utaratibu wa katiba yao.
( covid 19)
Very narrow thinking, in so saying kumbe watu wanapewa vyeo kama msaada na siyo kuwatumikia wananchi, kwahiyo Msukuma tangu Dialo aseme yake majuzi ulikwenda chimbo na hizi ndiyo nondo ulizotoka nazo?na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya
Hoja ni FAILI MILEMBE MKUUMbunge wa Geita vijijini mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
ohh masikini wajane wa Mzee Pombe mnahaha kama kuku aliyekatwa kichwa 🤣 🤣 🤣Wewe ni mjane wa charles mbowe
Diallo hawezi kuwa mjinga hata siku moja. Wewe taga ndie mjinga. Nyie chawa wa mwendazake hamjitambui kabisa.Huyo Dialo kama yuko kamati kuu ya ccm ni mtu hafai huko anajiwakilisha kwa maslahi yake ya kibiashara. Halafu ni mjinga cheti feki.
Huyo mtu wenu Msukuma ni mjinga tu, kutokuwa na akili ya kupima mtu anayaongea hadharani ni dalili mbaya ya kutostaarabika.Ka
Kama wewe mwenyewe ambaye hujui huku unajifanya kujua kama msukuma mjinga.
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Mbunge wa Geita vijijini Mh Musukuma amemkaanga na kumuonya Diallo kuwa ni mnafiki na aache mara moja tabia ya kumsema vibaya Hayati Magufuli kwani atamuumbua zaidi.
Musukuma amesema Hayati Magufuli alimsaidia Diallo pale Star Tv ilipofungiwa na TRA na pia alimteua mke wake kuwa mkurugenzi wa wilaya.
Musukuma ameenda mbali zaidi kwa kusema Hayati Magufuli ameifanyia makubwa Kanda ya Ziwa ikiwemo daraja refu kuliko yote Afrika la Kagongo Busisi, ujenzi wa meli mpya, ujenzi wa viwanda vya dhahabu na SGR kutoka Mwanza hadi Isaka.
Msukuma anastahili kujibii na wajinga wenzieHuyo Musukuma naona uelewa wake unaishia Mwanza. Busisi ndiyo daraja refu kuliko yote katika Afrika!! Amedanganywa na nani?