RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

Kwani ambaye ataki analazimishwa? Pumbavu kweli ambaye hataki anaacha watoto wanataka kusoma

Acha upumbavu wako simiyu ya 2014 na simiyu ya 2021 kielimu zipo sawa? Kama sio sawa unajua ni kwanini?

Wewe najua Huyo waziri ni mkeo au mama yako toeni upumbavu wenu hapa na akifukuzwa kazi huyu jamaa nawahakikishia hii serikali haifiki 2025
Hilo povu la nini mkuu!

Acha matusi na vitisho. Serikali hii haiwezi kushindwa kufika kwa sababu ya mtu mmoja! Hayo ni masihara kabisa.

Hoja ya msingi ni kuwa Mtaka amekosea sana kumshambulia waziri mwenye dhamana ya elimu hadharani . Waziri ndie msimamizi wa sera ya elimu na miongozo. Waziri alikuwa anatekeleza wajibu wake.

Kutokana na kadhia hii,bosi wao,raisi wa jamhuri ya muungano ya tanzania ataamua mwenyewe atakavyoishughulikia. Akiamua kutimua Mtaka. Mtaka na wewe hamna cha kumfanya.
 
Hilo povu la nini mkuu!

Acha matusi na vitisho. Serikali hii haiwezi kushindwa kufika kwa sababu ya mtu mmoja! Hayo ni masihara kabisa.

Hoja ya msingi ni kuwa Mtaka amekosea sana kumshambulia waziri mwenye dhamana ya elimu hadharani . Waziri ndie msimamizi wa sera ya elimu na miongozo. Waziri alikuwa anatekeleza wajibu wake.

Kutokana na kadhia hii,bosi wao,raisi wa jamhuri ya muungano ya tanzania ataamua mwenyewe atakavyoishughulikia. Akiamua kutimua Mtaka. Mtaka na wewe hamna cha kumfanya.
Kwani ni wapi kwenye katiba utakiwi kupiga alichokisema waziri? Wewe ukiwa kiongozi?
 
Nimefedheheshwa sana na kauli ya mkuu wa mkoa wa Dodoma ndugu Antony Mtaka juu ya kuwataka wadau wa elimu na wananchi wa Dodoma kutotii muongozo wa wizara ya elimu wa kutaka wanafunzi wote masomo yaishe saa 9 alasiri.

Kwanza mkuu wa mkoa amepotoka kwa kutaka watu wasome muda wote bila kupumzika na ili atambue hilo anapaswa kujua kuwa Katazo lile linawasaidia walimu na wanafunzi kupumzika, kufanya shughuri zingine za kijamii n.k.

Elimu inatambua muda wa kupumzika ndiyo maana kila Aristotle, Maria Montisori na wengine wengi walihimiza mfumo wa mihula ili watoto wawe na uwezo wa kuyatambua maisha ya nje ya kitaaluma.

Kutokana na katazo la wizara ambalo kisera ni muongozo ni wazi wadau wote wa elimu wanafahamu umhimu wa wake kwa watoto wetu. Mkuu wa mkoa ni mtekelezaji wa maagizo na msimamizi wa sheria mkoani kwake, kupinga kwake tamko hili ni wazi amekosa busara na tayari ameshaota kiburi.
Kumuwajibisha (kumuondoa ofisini) mtu kama Mtaka,kwa mtazamo wangu,ni jambo lisilokubalika duniani wala mbinguni.Huyu ni lulu,tujifunze kusikia ukweli mchungu.
 
Sasa mbona Kaufyata ???

Nimesoma na kupokea maoni,ushauri na kila aina ya hisia ambazo naamini ni kwa upendo juu ya Clip yangu kuhusu kambi za Kitaaluma nilipokuwa nikizungumza na wananchi wetu katika tafsiri yoyote ile naomba Radhi kwa wote waliokwazika ,wananchi na Viongozi wenzangu hasa pale matumizi ya neno "Waziri" lilipobeba hisia tofauti nawaheshimu Mawaziri wote na nafanya nao kazi kwa ushirikiano mkubwa natambua pia kazi nzuri inayofanywa na Mawaziri wetu wanaosimamia sekta ya elimu - Wapo wanaodhani maelezo ya hisia zangu ni kuanza kupandisha mabega,na pengine mgema akisifiwa tembo hutia maji-niwaondoe hofu sina sababu ya kupandisha mabega .

Hata Antony Diallo nae alifanya hivi hivi. Unawatwanga wanafiki wa magufuli ngumi za uso za kutosha tu!

Halafu baadae unajitokeza kuomba radhi ya uongo na kweli, huku ujumbe ukiwafikia wahusika na sisi watazamaji kwa usikivu mkubwa.
 
Mamlaka aliyotumia sio yake, angekua mbunge sawa. Mbunge ndio mwenye haki ya kuzungumza hadharani kama hivyo na isingeonekana ni kosa.
Acha kupotosha mkuu.unajua majukumu ya mkuu wa mkoa wewe?

Ni mwakilishi wa mkuu wa nchi katika mkoa wake.mkoa ukifaurisha mkuu wa nchi anapata kura nyingi pia.mkuu wa mkoa anasimamia utekelezaji na maboresho ya huduma kwa watu.ndiyo maana hoja ile ya majimbo inaleta mashiko.Wale waliotutangulia watusaidie kidogo kuelewa zamani kulukuwaga na watu wanaitwa Ma Regional Development Director,sijui waliishiaga wapi wale.na majuku yao yalikuwa ni nini? lkn nahisi ndicho hicho anachofanya Mtaka.Namuona mtaka ni zaidi ya RC.

Sema pia nakubaliana na wewe angeweza pia kusema hoja zake bila kuendelea kusisitiza kwamba wasimsikilize waziri.angeweza kuongea kwenye vikao vyao vya ndani vya mkoa.
 
Naelewa sasa kwa nini 'EMOTIONAL INTELLIGENCE' ni one of the key skill waajiri wanahakikisha wanaoomba kazi wanayo.

Bado tunasafari ndefu.
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.

Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Kweli kabisa we call it insubordination
 
Kweli sikuamini kama ni RC nimjuaye tangu SIMUYU,,,,,,MABAEGE KAKA SASA UMESIFIWA its true unaanya kazi nzuri mnooo...ila kwa hili noooooo...UMEOMBA MSAMAHA NGOJA TUONE KAMA MAMA NA YEYE ATAPOKEA aliwanya jamani MEBEGA MABEGA
Kapandisha sana mabega juu...huyu Mtaka
mama inabidi achukue mkasi wake ayapunguze
 
Najua huyu jamaa yangu hawezi kubaki ofisini ila ni kama katupiwa kagundu maana siyo kwa kuongea kule. Mpaka muda huu tuna kikao cha dharura kujadili ni nini kimempata rafiki yetu na mwana jamii wetu?
Hakupiga bapa kweli....
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.

Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Kwani alikuwa anaongea na watoto?
 
RC Antony Mtaka kama watoto wakimdharau Waziri wetu je watamheshimu nani kumsema Waziri mbele ya watoto umekosea.

Hiyo sio nidhamu waziri yupo juu yako huwezi kumsema na kuwakataza watoto wasifuate maagizo yake.

Kama ulikua na nia hiyo ungesubiri umwambie kwenye mkutano wa viongozi wa serikali kuu mkiwa pamoja lakini sio kama hivyo.

Hao watoto wanajua waziri wa elimu ni kiongozi wako hata wewe ni boss wako wa elimu kwenye mkoa wako. Sasa hivyo ulivyo msema na kujiwekea mamlaka hadharani kwakweli umekosea sana.

Jitokeze tu uwaombe radhi waTanzania kwa kumkosea adabu Waziri wa Elimu.

Hayo mamlaka uliyoyatumia ulitakiwa uyatumie kwa maafisa elimu wa mkoa, maafisa elimu wa wilaya na wakuu wa wilaya kwenye mkoa wako.
Huyo mjita akili hana anajua yeye ndo mwenye akili wengine hawana maana. Huyo waziri ni mkubwa kwake kicheo na kiumri pia kwa maadili ya kiafrika huyo ni kama mama yake,Alishindwa kumpigia simu au kuomba mda wa kuonana nae na kuweka mambo sawa.
Kwa upande mwingine Mtaka alishawahi kusikika akiwaambia wakuu wa wilaya waache barehe ya madaraka ,je yeye hiyo siyo barehe ya madaraka?
Watanazia inapofikia hatua mtu kapotoka nilazima aambiwe ukweli ili aweze kujiafunza na ukweli huo usemwe bila kupepesa macho kwa manufaa ya kizazi hiki na kijacho.
Kwa tabia yake ya kuwaambia watotot wampuuze mama maana yake waziri hata kama akitokea mbele ya watoto hao aweze hata kuzomewa maana hana maana kwao.
Kitu cha msingi kwa Mtaka ajitafakari kuwa yeye ni kioo cha jamii, lakini pia inabidi apingane na asili ya kabila lake ya sifa na ujuaji usiokuwa na maana.
 
Back
Top Bottom