Ahadi gani? Unatakiwa Uplay game kwa akili... Ukijimaliza unaweza poteza vingi zaidi.. wengi ni vijana hatujayafikia mafanikio makubwa kiasi hicho... Na kipindi hicho nimemaliza chuo na miaka mitatu tu mtaani, unaamua kuwaza kuacha uzinzi uoe, kumbe Kuna formula kidogo😅
Habari Wana jamii!! Mpo salama? Mpo poa?
.
Niende Moja kwa moja kwenye habari, nimewaza hili nikikumbuka matukio mawili ambayo Siwezi kuyasahau, yanafundisha sana, na kuonyesha vile vile.
.
TUKIO LA KWANZA.
nikikua na mpenzi mwanamke mzuri alieajiriwa jeshini ni daktari, alipata mafunzo yote ya...
Hii tuseme ni maneno yametimia... Au kuishi kwingi Kuona mengi .. kwenye maisha yetu wapo watu Wana maono mengi kutokana na vitu walivyopitia au kuvishuhudia... Leo Nick ameachana nae, si jambo jema ila Lina funzo, maisha binafsi ni kuyapeka kibinafsi, mwanamke mmekutana ukubwani Kila mtu alikua...
Piga zoezi haswa, mwili na kegel, kula korosho na maziwa fresh, baada ya week Moja tuu mwite, upumzike pia, uache stress, kunywa maji kabla ya sex,
Pole sana, hili swala linaanza kuonekana la kawaida!!
Alimla ndugu yake, ndg yake akawa anatunzwa kama mke, na sio mtz alikua Mcomoro.. hajawahi kumtambulisha mtu yeyote wa kwao... Na kwa Sasa ametoka nje ya tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.