Recent content by kindikinyer leborosier

  1. kindikinyer leborosier

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Hii tuseme ni maneno yametimia... Au kuishi kwingi Kuona mengi .. kwenye maisha yetu wapo watu Wana maono mengi kutokana na vitu walivyopitia au kuvishuhudia... Leo Nick ameachana nae, si jambo jema ila Lina funzo, maisha binafsi ni kuyapeka kibinafsi, mwanamke mmekutana ukubwani Kila mtu alikua...
  2. kindikinyer leborosier

    Nimepewa mechi nikashindwa kusimamisha

    Piga zoezi haswa, mwili na kegel, kula korosho na maziwa fresh, baada ya week Moja tuu mwite, upumzike pia, uache stress, kunywa maji kabla ya sex, Pole sana, hili swala linaanza kuonekana la kawaida!!
  3. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    We fala nimecheka sana,,, watakupaka mafuta
  4. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Good boss,, 70 kwa 30 sio mbaya
  5. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Sawa,, nimewaelewa wakuu!!! 🤣🤣
  6. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Alimla ndugu yake, ndg yake akawa anatunzwa kama mke, na sio mtz alikua Mcomoro.. hajawahi kumtambulisha mtu yeyote wa kwao... Na kwa Sasa ametoka nje ya tz
  7. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Mzee inaonekana una experience kubwa sana.. shukran
  8. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Mahari sipaswi kabisa kutoa 😅😅
  9. kindikinyer leborosier

    Ni wapi nianzie? Naombeni mawazo yenu MMU

    Yaan nimsupport, na kumwacha!! Kama kumwacha si Bora niachane nae support ya nn Tena boss
Back
Top Bottom