Habari zenu wadau,
Nataka kununua gari kati ya hayo niliyotaja hapo juu ila kwa sababu ndio mara yangu ya kwanza kuwa na gari naomba mnisaidie which is the best among the two cars.
Budget yangu ni milion 9 na ninataka kuagiza moja kwa moja kutoka Japan.
Naombeni ujuzi wenu kuhusu hizo gari
Kipo keko ya magurumbashi kina ukubwa wa 500sqm pia kina leseni ya makazi.
Bei 6.2mil tzs maelewano yapo.
NB: Gari haifiki mpaka kiwanjani.
Pm for more details and photos.
Kwa style gani MATAKATAKA? Mbona gari ishanunuliwa kitambo sana kupitia hilihili tangazo? Ulitaka nitumie style gani? Hahaaaa jf is full of funny people na wajuaji nao ni wengi sana one of them is MATAKATAKA.
mrangi njoo umuone huyu anasema hakuna atae chukua gari while the car is yet sold...
Walio serious walishanunua gari kwa hiyo hiyo bei ya 4m we endelea na dharau zako sisi wenzako tunaendelea kufanya biashara.
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji
Nina shida na hela ambayo haiwezi kusubiri miaka miwili wala mmoja hata hivyo hata mimi nakiuza mara nyingi ya bei niliyonunulianiliyonunulia miaka mitano iliyopita
Kina ukubwa wa nusu eka kipo Chanika mtungini karibu na shule ya secondary chanika.
Bei 12mil
0784198482.
Ukiwekeza kwenye ardhi hutojutia hela yako baada ya mwaka mmoja utakiuza mara mbili ya pesa uliyonunulia.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.