4.3 mil bei haipungui kwa sababu gari ina hali nzuri sana. Haijawahi kutoka nje ya dar safari zake ni hapahapa mjini tangu inunuliwe. Kwa MAELEZO zaidi na PICHA pm namba yako nakufata watsapp.
Kuhusu picha nimeshindwa kuupload humu Jf. Japo nafanya biashara pia sipendi kuuza namba yangu hapa jukwaani ni bora mtu akiwa interested aje pm kwa taarifa zoteMkuu ni vyema ungeweka picha moja kwa moja na specs za GARI hapa pamoja na contacts kuliko MTU aku PM number yake wengine hawapendi kujulikana hapa.
Ukija pm tarifa zote zipomazee mbona taarifa haijitoshelezi, ni mara yako ya kwanza kufanya biashara nini?
Weka picha hapa
Gari bado ipo wateja karibuni
Gari bado ipo wateja karibuni
4.3 mil bei haipungui kwa sababu gari ina hali nzuri sana. Haijawahi kutoka nje ya dar safari zake ni hapahapa mjini tangu inunuliwe. Kwa MAELEZO zaidi na PICHA pm namba yako nakufata watsapp.
Weka picha na specs, ongeza namba ya simu. Jifunze kwa wenzako hapa jf wanafanyaje.!
Labda ni ya 500000 tu
Hakuna atae nunua gari kwa stail hiyo unayotaka wewe.
Kwa style gani MATAKATAKA? Mbona gari ishanunuliwa kitambo sana kupitia hilihili tangazo? Ulitaka nitumie style gani? Hahaaaa jf is full of funny people na wajuaji nao ni wengi sana one of them is MATAKATAKA.
mrangi njoo umuone huyu anasema hakuna atae chukua gari while the car is yet sold. Thanks to mrangi