Recent content by KINAMBUA MDONKOLO

  1. KINAMBUA MDONKOLO

    Kufungwa kwa Sahara Media liwe funzo kwa machawa, Dialo alijua akiwa CCM atakwepa kodi milele ila Hayati Magufuli alimshenyenta

    Tujikite hapo kwenye kichwa cha habari. Kufungwa kwa Sahara media LIWE FUNZO kwa MACHAWA, Dialo alijua akiwa ccm atakwepa Kodi MILELE ila Mzee MAGU alimshenyenta
  2. KINAMBUA MDONKOLO

    PostGE2025 Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025 yaongezewa muda mpaka Aprili 3, 2026

    Hii tume uchwara yao hata waipe miaka 20 haiwezi kuchakata taarifa zikawa kweli ya Mungu lazima wapike taarifa.
  3. KINAMBUA MDONKOLO

    FT| Esperance 1-0 Simba SC l CAF champion League l Hammadi Agrebi Stadium l 24 Jan 2026 l 19:00HRS

    Hoo game kama una 1M una mpa Experance anshinde na goli tatu zipatikane maana Simba anaenda kupigwa sii chini ya goli 4. Timu lina cheza kipumbavu sana hili. Hakuna morali hata kidogo sijui tume rogqa na nani. 🤔
  4. KINAMBUA MDONKOLO

    Mbowe: CHADEMA haijatengwa tusiuchafue msiba wa Mzee Mtei

    Kuna watu duniani waliletwa kwaajili ya kukuza mambo yaani hawa enjoy bila kuzua jambo/ taharuki 🚮
  5. KINAMBUA MDONKOLO

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Ila kwa sasa Tanganyika ime corrupt sana, ebooo...!?
  6. KINAMBUA MDONKOLO

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Kwakuwa wameridhika wenyewe waache mpaka watakapoanza kushikwa kende ndio watagundua mazoea yamezidi.
  7. KINAMBUA MDONKOLO

    Nyie Baby Boomers wa CCM nataka niwadokezee kitu

    Is Ishu ni hawa viongozi wa makabila ya Pwani ndio Ma selfish. Hawa wanao toka mbali na bahari kidogo wao
  8. KINAMBUA MDONKOLO

    FT: CAFCL Group Stage: Young Africans 1-0 Far Rabat | New Amani Complex | 22/11/2025

    Shikilia hapo hapo. Wasitutoe mchezoni. 👎
  9. KINAMBUA MDONKOLO

    Washauri wa Mama ni janga la taifa

    Ni uzwazwa na kutokufikiri mbali. Hivi ni nani mpumbavu kiasi cha kuwa wa hovyo hivi. Ninacho fahamu ni hata kama unashauriwa lazima unakuwa na room yako ya kuchambua hiki ndio hiki hapana. Sio kila kitu yes pia sio kila kitu no. Uwezo wa kutambua mema na mabaya unao sasa kinacho mshinda sijui...
  10. KINAMBUA MDONKOLO

    Usimshuhudie jirani yako uongo

    Zamu yao kukatwa kende itafika tu. Kwani vina dumu basi...
Back
Top Bottom