Recent content by KINAMBUA MDONKOLO

  1. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Popoma pro max kmmke
  2. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Rais wa Cameroon, Paul Biya anaongoza nchi akiwa hajulikani alipo

    Afrika dizaini ni kama tulilaaniwa aisee
  3. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Sawa. Na alivyo ua October alitumia ustaarabu gani?
  4. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Watanzania tuwe macho dhidi anayetaka kutugawa, kutuchochea na kututumia kuhatarisha amani na utulivu tulionao

    Unapasha chuma kwenye moto mkalii..... mpaka kiwe chekundu. Then una mwambia akalie dk 3 tu. Halafu aende zake. 🗑
  5. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Huna pesa mkuu hivi vitoto ni dau lako tu unakula vya kila aina. Kila kitoto kina bei yake elekezi. Ukiona umekataliwa ujue haujafika dau lake panda dau tu najifanye romantic utavila sana. Ila baada ya hapo ujiandae na safari ya makao makuu ya Azuma. Vina UTI zaidi ya sugu yenyewe. 🙌🙆‍♀️
  6. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anachekesha kama si mtu wako wa karibu

    Popoma la JF limerudi kwa kasi ya 5G au ndio GENTERMICENE second generation? 🤔🤒
  7. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    Mnataka maridhiano na nani? Kwa kosa gani mlilo lifanya? Tulieni hivyo hivyo ngoma ikivuma sana tunasubiri itakapo pasuka.
  8. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ni wapi kwingine walioshinda uchaguzi kwa 98% hufanya maridhiano??

    Yaani hayo yooote hakuridhika nayo, akaona aue pia.😭
  9. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya ndoto

    Wanakuja
  10. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    JF ni ya wajanja that's why ni wachache.
  11. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Simba wana akili nyingi sana. Baada ya usajili kubuma wameamua kujivunja

    Dish linasoma pale wanapo kunya Jangwani uto baadhi yenyu huwa mna think mavi kichwani siku zote
  12. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    Shetani kabisa wewe... unaleta mavi high table 🤔
  13. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Je, wamjua huyu DC anayesifiwa na Rais anachapa kazi? Ndo anamwombea mchango wa Boda boda Graduate wa UDSM

    Siwamnyooshe mgongo? Kanapenda sifa za kijinga kale kajamaa 🚮
  14. KINAMBUA MDONKOLO

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Eee yeye kawa fundisho kwa ulinwengu.
Back
Top Bottom