Tujikite hapo kwenye kichwa cha habari.
Kufungwa kwa Sahara media LIWE FUNZO kwa MACHAWA, Dialo alijua akiwa ccm atakwepa Kodi MILELE ila Mzee MAGU alimshenyenta
Hoo game kama una 1M una mpa Experance anshinde na goli tatu zipatikane maana Simba anaenda kupigwa sii chini ya goli 4. Timu lina cheza kipumbavu sana hili. Hakuna morali hata kidogo sijui tume rogqa na nani. 🤔
Ni uzwazwa na kutokufikiri mbali. Hivi ni nani mpumbavu kiasi cha kuwa wa hovyo hivi. Ninacho fahamu ni hata kama unashauriwa lazima unakuwa na room yako ya kuchambua hiki ndio hiki hapana. Sio kila kitu yes pia sio kila kitu no. Uwezo wa kutambua mema na mabaya unao sasa kinacho mshinda sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.