kaz ya duka inatakiwa uifanye kwa moyo na uangalifu mkubwa mno,nje na hapo inaweza kubak stor,kwan inakufanya ustumie hela kwa kurealax uktoa lak moja kuifidia itakuchukua mda
gharama zake so kubwa sana,mbegu peke ake ni 30,000 kwa hzo ekar mbil,haihtaj mbolea kama shamba linalutuba ata ya wastan na halihtaj mvua ya kutoxha ili listawi ,hasa pale linapochanua huhtaj ukame ili kupata alzet zenye mafuta meng
tatzo hujaelewa maada,hebu angalia wakat magu yupo madarakan,ulikuwa unaona kikwete anatajwa tajwa kushliki kaz au ziara za kiserikal mara kwa mara?the same to kikwete mwenyewe mkapa alikuwa mshauri tu tena asiyetambulika kwenye uso wa watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.