Recent content by kinakirefu

  1. K

    Sitashiriki maandamano CHADEMA

    unajisikiaje kuwa sehemu ya ujinga, unakubali kubak kwenye kumbukumbu za usaliti
  2. K

    kwa vyuo vikuu vyote vya Tanzania

    ni kwa undergraduate tu au na masters
  3. K

    Msaada kusoma masters UDSM

    hadi 2.8 wanachukuliwa, inategemea unataka kusoma coz gan manake kila coz inavigezo vyake, wameshaanza kutoa matangazo ya application, tembelea mara kwa mara web yao
  4. K

    Naomba kuuliza: Baraza kuu la Chadema linaundwa na kina nani?

    Wadau kwan wajumbe wa kamati kuu na baraza kuu la chadema n tofauti maana naamin uamuz utakuwa ule ule watusaidie kututolea msalit zzk
  5. K

    Msaada kuhusu receiver za wiztech

    Mimi natumia receiver ya wiztech ila channel zimekata naomba msaada kwa anayefahamu
  6. K

    Msaada kuhusu receiver za wiztech

    Mimi natumia receiver ya wiztech ila channel zimekata naombeni msaada kwa anayefahamu
  7. K

    mishahara mipya ualimu

    weka waraka wa mwaka huu, huu wa mwaka jana wann sasa
  8. K

    Waraka wa mishahara ya walimu umetoka leo, majonzi yaendelea

    b1 laki 304000, c 432000 d 589000 na e 769000 hapa mgomo wa wlimu haukwepeki
  9. K

    Ongezeko la mishahara kwa walimu

    Jamani mbona hotuba ya waziri wa elimu haijataja asilimia za ongezeko la mishahara kwa walimu
  10. K

    Mishahara ya walimu itapanda

    mkuu usiwavunje moyo walimu, elfu 8500 ni asilimia moja ya mshahara wa sasa na unaanza kwa kusema imepanda sana
  11. K

    Mishahara ya walimu

    laki mbili na sabini na tano elfu, baada ya makato inabaki 210000
  12. K

    Walimu wapya hatuna mishahara

    ingia kwenye website ya bunge, namba za wabunge zimo humo andika jina la mbunge au jimbo lake upazipata
  13. K

    Je ni kweli kuna kuna mishahara mipya kwa waalim?

    inawezekana, lakin mpaka chadema itakapoingia madarakani
Back
Top Bottom