Mbona hamuweki 3g mitambo Marangu wenzetu wa tigo wanatunyanyasa sana mpaka tunawaza kununua line za tigo sasa by the way Marangu ni centre ya kitalii fanyeni mipango hiyo maisha yawe ni murua..
Ok sawa boss ila sasa mf ukinitumia picha mpaka ni drop Himo ndo zinafunguka fasta ila to honest yaani nje kwangu tigo 3g pambaneni mtupatie coz hata nyie mtauza sana bandos by the much respect VODA COM kazi ni kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.