Recent content by Kimweli

  1. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya maegesho ya magari jijini Mwanza sio haki

    Sasa hii kinachotafutwa ni nini? Yaani from 1500 to elfu 20 to laki 2, daaah kunawatu wanapata pesa kirahisi sana na hapo hakuna ulinzi wa gari ukipaki. Au tuwe tunagonga daladala tu
  2. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya maegesho ya magari jijini Mwanza sio haki

    Utakuwa haujanielewa wewe
  3. K

    JamiiForums Tanzania Malipo ya maegesho ya magari jijini Mwanza sio haki

    Nimebahatika kutembelea jijini Mwanza mwisho wa mwaka huu na nimekutana na kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukiona duniani kokote kuhusu jinsi ya kulipia maegesho ya gari. Mtu anakuja kuscan plate number yako bila hata wewe kujua, hivyo ni wajibu wako kujua hata kama ni mgeni kuwa unatakiwa...
  4. K

    JamiiForums Tanzania TBC, hamjapata habari kuwa Mbowe kapata dhamana?

    Hehehehehehehe, this is nice one
  5. K

    JamiiForums Tanzania Unyama wanaofanyiwa waheshimiwa Mbowe na Matiko haukubaliki, hauvumiliki na siyo wa kitanzania

    Sure time will tell... Tuwaombee tu hakika
  6. K

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Asante sana kwa taarifa... Nzuri. Hivi mimewashinda nini kuautomate payment mtu akilipa umeme uwake palepale badala ya kuingiza kwenye meter zenu na nyingi mbovu?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Musiba Cyprian kwa njia hii haumtetei Rais ila unamuaibisha, na kuwadhalilisha wanaomtetea kwa hoja

    I advice you hakuna haja ya kupost this expression here... Mjinga muache na uninga wake.... Ni busara sana kumjua mtu kwa maana hata kusumbua.... Anatuzalilisha sana watanzania huyu jamaa...... Anaichafua hadi Serikali indirectly
  8. K

    JamiiForums Tanzania Musiba Cyprian kwa njia hii haumtetei Rais ila unamuaibisha, na kuwadhalilisha wanaomtetea kwa hoja

    This is a big pig in our lovely country. He don't think even we have tomorrow
  9. K

    JamiiForums Tanzania Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

    True
  10. K

    JamiiForums Tanzania Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

    Where are getting the gtts to write-up something u can't confirm... And why are u relating this to our government....
  11. K

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe na Esther Matiko watimiza miezi miwili jela Segerea

    Katika kitu ambacho ningewashauri wakubwa ni kufanya kosa kama hili... Basically kosa lao ni lipi hasa....??
  12. K

    JamiiForums Tanzania Polisi kama ndio hivi hamna intelejensia

    Hopefully ata wa PM wakuu
  13. K

    JamiiForums Tanzania Vibao vya 50km\hr vinachelewesha uwajibikaji, vinakera na ni sheria ya kizamani.

    Wewe si bure utakuwa umepiga kitu from Himo wewe na si cha Tarime
Back
Top Bottom