Sasa hii kinachotafutwa ni nini? Yaani from 1500 to elfu 20 to laki 2, daaah kunawatu wanapata pesa kirahisi sana na hapo hakuna ulinzi wa gari ukipaki. Au tuwe tunagonga daladala tu
Nimebahatika kutembelea jijini Mwanza mwisho wa mwaka huu na nimekutana na kitu cha ajabu ambacho sijawahi kukiona duniani kokote kuhusu jinsi ya kulipia maegesho ya gari. Mtu anakuja kuscan plate number yako bila hata wewe kujua, hivyo ni wajibu wako kujua hata kama ni mgeni kuwa unatakiwa...
Asante sana kwa taarifa... Nzuri. Hivi mimewashinda nini kuautomate payment mtu akilipa umeme uwake palepale badala ya kuingiza kwenye meter zenu na nyingi mbovu?
I advice you hakuna haja ya kupost this expression here... Mjinga muache na uninga wake.... Ni busara sana kumjua mtu kwa maana hata kusumbua.... Anatuzalilisha sana watanzania huyu jamaa...... Anaichafua hadi Serikali indirectly
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.