Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

Awasaidie vichaa.......?
Mara ngapi amekuwa akishauri cha kufanya mkampuuza.........?
Hakuwaambia mjitoe kwa MIGA then ndo mfanye huo ujinga wenu wa makinikia na vishika uchumba.....
Mlifanya?
Vipi Tanzania ilishtakiwa?Kwamba lisu ndio anajua SHERIA Tanzania nzima?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kakae na wapumbavu wenzio mliohudhuria mafunzo ya miezi 2 magambo uwaulize maswali ya kipuuzi kama hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali,mwili gani wa binadamu unaweza vumilia risasi 16?Au risasi za mabua?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Inawezekana vipi serikali isitishwe na mtu moja na wakati huo Huo serikali ina weza kufurugwa na mtu mmoja .mfano Idi Amin ,Mobutu !!??? Tafakari kabla ujatoa kauli .serikali kwa kujua uwezekano huo wa hatari ya uwezo wa mtu mmoja kujenga au kubomoa serikali ndio maana inaweweseka na mtu mmoja .na hii ni kwa hizi katiba za nchi zinazoitwa dunia ya tatu.ushauri wangu katiba mpya ni muhimu ikapatikana kuondoa huu utisho wa mtu mmoja dhidi ya serikali na taifa kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaimba kama kasuku, mara usaliti mara uhaini, mara ametumwa na mabeberu.... Mkiulizwa elezeeni huo usaliti au uhaini mnabaki mmekodoa mimacho kama yule bundi aliyetua bungeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hadi uwe na degree kujua LISU ni msariti?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Nasikia hii ishu ilimuudhi sana Ngosha. Nasikia Lissu alikuwa anawapigia simu Accacia kuwa yeye atakuwa mtetezi bora wao sababu anajua vizuri historia ya Madini.

Alikuwa anawaomba accacia kuwa yeye ndio wamtanye wakili kwenye hii kesi na atamuangusha Ngosha sababu anajua wakati mikataba inasainiwa anajua Ngosha alikuwa upande gani. Mawasiliano yake yakadakwa. Ngosha alimaindi kichizi na ndo akaja na île ishu ya Uzalendo.

Kimsingi Tundu alikosea, Wamarekani linapokuja suala la maslahi ya nchi siku zote huwa kitu kimoja.

Hii ishu uliyoandika ndio uhalisia
kwa kawaida mtu hupigwa risasi moja nakufa hapohapo hebu tafakari risasi16 na jitu bado Linasurvive ccm lisu nimpango wa mungu msibishane nae mtapotezwa kwa sasa nyinyi nikamadagaa kwa lissu lissu mmemtangaza Sana mpaka vibibi kizee huku vijijini vinasema lissu is enough president material

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
this is so naive.

Lissu atarudi nchini na some day (possibly including 2020) atakuja kuwa ama head of state, au vice au PM.

imeze hii fact hata kama ni chungu.
 
Nimewadharau sana.
_ Lissu tangu 1998 alipiga kelele kuhusu mikataba mibovu ya madini. Nani alimuelewa ?! Si Mkapa wala mawaziri wake.
_ Walioingia mikataba mibovu ya madini na wawekezaji , ni viongozi wa CCM na serikali yake wala si Lissu . Na ninaamini mnajua viongozi hao ni kinanani na bado wapo hai si Lissu .

Kumbukumbu zinanirudisha 2015 mwezi July. Lissu pamoja na wapinzani wenzake, wakiwaomba wenzao wa CCM waache haraka kupitisha muswaada wa Gas na mafuta. Kwa sababu makabrasha yalikuwa ya kisheria zaidi na wabunge hawakuwa na uelewa mzuri wa kisheria . Lakini waliishia kufukuzwa ukumbini na muswaada ukapitishwa usiku wa manane chini ya spika Makinda.
Leo Maghufuli anailalamikia sheria hiyo na kusema hata hiyo Gas na mafuta siyo yetu. Wakati alikuwemo ukumbini wakiwazodoa wapinzani !!! Sasa hapo nani ni msaliti ?????

Siku chache kabla Lissu hajaumizwa. Alitujulisha kuhusu ndege yetu kushikiliwa Je haikuwa kweli ??????!!!!!! Usaliti wake uko wapi ?!

Mnachofanya ni unafki . Hakuna kitu kingine. Wa kujifanya wazalendo kumbe wanafki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika PUMBA.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
USTAARABU KWENYE MABEBERU WALIOTUFIKISHA LEO HAPA KWA HALI YA UCHUMI TULIO NAYO?

YANI MSALITI M1 TU KWA NJAA ZAKE AISALITI SERIKALI YAKE KTK ACCASIA(MADINI) SABABU YA UCHUMIA TUMBO LAKE NA AACHWE HIVI HIVI KISA USTAARABU? HATA KIM RAISI WA KOREA YA KASKAZINI ALIWAHI KUMSHONA MJOMBA WAKE RISASI.

KUMBUKA SULEIMAN ALIKUWA NA HEKIMA SANA NDIYOMAANA MUNGU ALIMZIDISHIA BARAKA ZA MALI NYINGI SANA LAKINI HAIKUMZUIA KUAMURU MTOTO ALIYEKUWA AKIN'GANG'ANIWA NA WANAWAKE WAWILI AUWAWE KWA UPANGA.

JE SULEIMANI HAKUJUA KUUA KIUMBE CHAKE MUNGU(MTOTO) NI DHAMBI?

HEKIMA HUHITAJI MAAMUZI MAGUMU WAKATI MWINGINE.

Sent using Jamii Forums mobile app

Video ya Jana ya Maguful akitoa order auwawe imebadilisha nyimbo kuwa sio mbowe tena tumerudi na usaliti.
Hakyamama nyie watu nyie kaaah


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!

Where are getting the gtts to write-up something u can't confirm... And why are u relating this to our government....
 
Hivi jamani mwili wa binadamu unaweza ukabeba risasi 16 kwa akili ya kawaida maana ninavyojua jua risasi ina sehemu kuu tatu ina kichwa ambacho kimechongoka pia ina umbo LA laki ambayo hubeba baruti halafu kasha LA nyuma ambayo risasi ikitoka huwa linabaki xaxa lile umbo LA kati huwa linabaruti ambayo asilimia kubwa ndio huleta madhara kwenye mwili xaxa hizo 16 inakuwaje jamanii naombeni mtu anifafanulie vizuri zaidi inakuwaje hapo 16

Sent using Jamii Forums mobile app
matomaso uwa hawakosekani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekaririshwa ujinga nawe kama kasuku unaurudia rudia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naweza kujaza kitabu aina ya biblia kuelezea hili. LISU NI MSALITI. Wewe umekarr habari za mwaka 98 tu humo kichwani.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Back
Top Bottom