Huyo kibuda kibogoyo anatafuta kiki miaka yote katunyonya ubungo leo ataongea Nini akafie Monduli mchawi huyo
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Hata kama ameenda mwenyewe yy ni mtuhumiwa lazima ahojiwe ikibidi apitie ktk hatua muhimu ili atoe maelezo yaliyo sahihi istoshe yy ametajwa na wale waliokamatwa awali sasa unataka polisi wambebe ili iweje amehojiwa kulingana na maelezo aliyotoa mwenyewe,alidai atakula chakula kitakacholetwa na...
Wewe tafuta laana ya mungu,badala ya kumuomba mungu amsaidie yule aliyeumizwa na kuteseka na maumivu ya tindikali unawaombea waovu wanaotesa binadamu wenzao kwa kuwamwagia tindikali,hivi ww kweli una mungu una mungu ww
Maneno ya siasa yanaishia majukwaani,kilewo alijua kuwa na wakili kutamsaidia asibanwe sasa amesema yaliyotokea,yanayotokea na yatakayotokea kama alijimwagia mwambie wakili aweke maelezo aliyokili kilewo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.