Wanaotumia Facebook ya bure Tigo

Wanaotumia Facebook ya bure Tigo

Je kwa wale tunaotumia jf through operamini sometimes tunaingia o.internet.org ina maana hiyo site nayo haitakuwa fre ama....? Bado sijaelewa....
 
Uchaguzi mnashinda mno Jf sasa wamestukia kupanda dau ili habari zisisambae kwa kasi, kweli Magufuli hana huruma na watz nazidi kumchukia Mimi na kijiji change wote hatumpi kura zetu ng'ooooo, aende bagamoyo akasimamie ujenzi kwa best yake

Binti utakuwa una kaugonjwa njoo mlingotini tukutibie

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom