Mbona huyo EL ndiye mwl wa Mbowe kubadilisha gia angani, hamlijui hilo?, poleni na msubiri kuokota dodo chini ya mkorosho,ama kweli wajinga ndio waliwao
Nahisi uwezo wako wa kufikiri hata nyumbu anakuzidi, acha kuendeshwa na mihemko ya kisiasa ww kwenye kazi za watu, ukiona wamekuboa kwasababu wametumika CCM, tazama na kusikiliza wasanii wanaotumika Ukawa
Usikariri ubongo wa nyumbu, alichomaanisha sio Photoshop, bali ni kuungaunga watu kutoka mikoa mengine, lkn mwisho wa siku wapiga kura wanabaki wale halisi, mwisho mkishindwa ooh CCM kaiba kura, kumbe mnajiibia wenyewe toka mfuko 1 kwenda mfuko mwingine, mtasubiri sana mpaka akili iwasogee
Kwani wasanii wanaoisupport Ukawa hawana funs waliopo CCM? , mbona mnaanza kuingilia uhuru wa watu?, funs wa msanii wanavutwa na kazi zake na si chama, ukiona kakukwaza uamuzi unao mwenyewe, kwani hapo pia yupo kikazi zaidi kukitumikia chama, msubirini 2025
Kwani nini maana na dhamira ya Ukawa?, kama nccr haina mizizi si wenye mizizi wamsupport, au cdm ndio mnataka majimbo yote kwa kigezo kuwa mna mizizi?, acheni uroho, ubinafsi na tamaa .Mliambiwa kabla mkarefusha midomo sasa tulieni chombo kiingie taratiiiibu
Acha ujinga wewe na hadithi zako za vijiwe vya kahawa, unajua principles zizoongoza meli wewe au unaropoka tu?, hivyo unataka tuamini meli na ndege zote zinazopata dholuba na ajali ni kwa sababu si imara?, acha kuleta siasa zako uchwara, peleka ujinga wako vijiweni
Wewe tulia watafurahi tu, wakiambiwa ukweli wanashindwa kujenga hoja na wanaishia kutoa lugha za kejeli, unafikiri uraisi unapatikanaa kwa jazba na matusi?, ni vigezo na hoja zenye mashiko tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.