**MWONEKANO MAISHA BORA YA MTANZANIA CHADEMA IKISHIKA DOLA 2015**
Ni kweli ni bora chadema wachkue nchi ili maisha yawe rahis;
1.Asubuh kazin kwenda sa 4 na hakuna kuulizana ( KWA JINA LA HAKI ZA MFANYAKAZI)
2.Kuibiana wake inakua ni ''fair game'' coz mh rais ndo life style itakua iyo ( NDIO...
Huku kikijiita ni chama cha democrasia na Maendeleo Bado Mwenyekiti aliepo sasa hana kura alizopigiwa ili kupata Nafasi Hiyoo. Yote tisa Huku miaka ikiyoyoma hakuna dalili za kuitisha Uchaguzi.
1. JE TUAMINI FALSAFA ZA KIKABILA KUA WACHAGA WANAHOFU ZITO KABWE ATACHAKUA FOMU
2.JE NI KUONYESHA...
mbona kama mkuu wetu wa jwtz kafanana na kagame te he te he tusije tukawa tunamtafuta mdogo kumbu mkuu wao naye kagame memba((((((((((( JUST A JOKE))))))
Go on mwigulu wanasema walichagua kwenda kwenye mpira sio katiba ni ufinyu wa akili chadema Haiwezi kufanya maamzi yoyote katika taifa hili yani PADRE SLAA atengeneze katiba hahahahahahaah
ANY WAY EVERY DOG IS LION ON HIS OWN GATE
MLIKUA KATIKA GATE LA LION MWIGULU CHEMBA MKAUMBUKA SASA...
Katika hali ya kuwakatisha tamaa wanaharakati wa M4C wanaozunguka nchii zima wakiongozwa na Padre slaa kutafuta huruma za wapiga kura hali imeenda tofauti siku ya jana katika jimbo la iramba ambapo mkutano wenye helkopta na mbwembwe kibao ulihudhuliwa na watu 32 wakati huo huo mwigulu nchemba...
Tafakuri Ya Leo....
Unalalamika Taifa Lina Rushwa unasahau ulifundishwa na wanao wanafundishwa shuleni na waalimu wao
ELEZA MAANA YA METHALI ZIFUATAZO
1. PENYE UZIA...................??
2. MKONO MTUPU..............??
ONGEZEA METHALI Zako na Nahau zinazokufundisha uwe mtoa Rushwa...
Sijaja kupanua vidole kama vijana wa chadema nimekuja kupanua akili kupanua fikra kwa maendeleo ya taifa langu wito wa dhati kwenu ni kwa pamoja kuacha kupanua vidole bali tupanue akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.