Kama hazionekani kwenye rada ya North Korea si angeingiza hata moja kwenye anga la Kim tu...Kwa nini tuendelee na alternative to practical wakati mazingira ya kufanyia real practical tunayo?
Israel kujaribu kuingilia suala la North Korea na mpango wake wa silaha za nyuklia na makombora ya balistiki
Katika theluthi ya mwanzo ya mwaka huu, 2017, Israel ilijaribu kuishambulia kwa maneno North Korea pamoja na mpango wake wa makombora ya balistiki na silaha za nyuklia.
Waziri wa ulinzi...
Mkuu, kama kweli huyo mkenya yuko sahihi kuhusu IQ yetu mbona hatujatest makombora ya balistiki na bomu la haidrojeni kama N/Korea ambao nao wanasifiwa kuwa na IQ ya namna hiyo.
Habari wakuu...
Ni muda muafaka sasa Trump aombe msaada kwa Israel, taifa teule, wasambaratishe mazalia ya ballistic missiles na nuclear reactors za Kim Jong-Un. Kazi hii IDF ikipewa yawezakamilisha ndani ya masaa 12 ya usiku mmoja.
Au kama vipi Trump awaombe Waisrael, watu waliopewa akili...
Mkuu bora hao Oman watuletee vyerehani vyao hivi:
Oil and Gas Data
Oil
Crude oil production (plus condensate): 918,570 barrels per day (Between June 2012 and May 2017, Tanzania production of crude oil was 0.00 thousand barrels per day).
Natural gas liquids production: 5,400 barrels per day...
Pesa za wafadhili zipo wazi kwa ajili ya kushiriki mambo muhimu ya kimataifa na kimaendeleo. Una apply for funding na kuweka wazi gharama za safari, accommodation etc. Kwa wale waliosomea Europe hasa ktk ngazi ya PhD wanajua mambo hayo. Unaweza kuwa wasoma chuo A1 ktk nchi A. But ukasafiri ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.