Natafuta mchumba(mume)

Natafuta mchumba(mume)

Muumbe wakwako,,,mwenye sifa zote unazohitaji..Maana wengi wao wanapungukiwa baadhi ya vigezo
 
natafuta mchumba atakaye kuwa mume awe afanya kazi au biashara awe na miaka 33 adi 38. awe mrefu nc 6
mimi nina miaka 31
awe mkristo
Huo urefu ni wa kitandani au mtaani?
 
ukifikiri unaitaji mke lazima uwe kichwa cha familia umtunza mkeo kama una kazi nani ata mtunza? lakini pia kama unataka haki sawa pia sawa tu mi ntakutunza ila usije lalamika
Ina maana mtu asiye na kazi harusiwi kuoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom