Open spaces zote mmeweka mabanda yenu hayo yenye kutu na takataka , mkoloni kaiacha Dar imepangika na kustaarabika ,hiyo posta ,oysterbay ,masaki ,upanga ,MIKOCHENI ni masterplan ya mkoloni hata infrastructure ni za mkoloni mjerumani na mwingereza , imagine ni miaka mingapi imepita tangu hao...