Hizo ndizo hali zetu mi kwa mtazamo wangu serikali kuanzia kwa balozi wa shina wangeweka utaratibu mzuri jinsi ya kusaidia makundi ya watu lakini kingine hao nao ukifika wakati wa uchaguzi badala waweke mtu anae wajali wao wameweka mbele ushabiki wa kisiasa wanasahau kabisa hali walizo nazo
Kwa mtazamo wangu mwaka huu wapiga kura watakua wachache sana rudi katika daftari la mkaazi angalia Madudu yaliyo fanyika wameandika watu ambao sio wakazi wa mtaa husika hii ni dalili ya watu kuchoka na haya mambo tuombe uzima tujionee wenyewe
Katika maisha broo jiepushe na familia za watu sawa ney kakulia mtaani swali la kujiuliza wewe na wazazi wako mmetoa misaada mingapi katika familia yao acha chuki Braza kabla ya kuanza kumchukia ney jiulize unamsaada gani kwake katiba ya nchi inatoa ruhusa kila mtanzania kutoa maoni yake broo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.