Natumai mpo good Wana JF, na tunaendelea na kazi na shughuli zetu mbali mbali Ili kulijenga Taifa letu.
Turudi kwenye mada tajwa.
Hivi ulishawahi kua unafanya kazi fulani ama tendo lolote, ila kipindi unafanya hio kazi ama tendo ukawa unasikiliza redio, mara unasikia nyimbo ambayo ndo mara ya...