Hussein mkenaguzi
Senior Member
- Oct 31, 2013
- 188
- 217
"Allah hapendi kudhihirisha /kuyataja maovu isipokuwa kwa mtu ambaye pengine anatoa ushahidi katika kujiepusha na dhulma. Allah yeye ni mjuzi na msikivu." Hujatenda sawa kuelezea hatua kwa hatua juu ya machafu uliyoyatenda siku za nyuma,ilikuwa ni wajibu kwako kujuta,kuomba msamaha na kumuahidi Allah kutorudia dhambi/madhambi hayo. Katu usisimulie,fikiria kwamba hata matendo mema ,haifai kuyasimulia kwa kuchelea kukosa radhi zake Muumba. Seuze uovu unaotia hamasa natashwish kwa wengine. Allah atusamehe sote kwa yote tunayomkosea. Allahumma AaminInaendelea 4...............
Baada ya kusalimiana mimi ndio nilienza kuo gea,....nikawatambuli. sha wote wale kwa mchepu wangu kwa kumtaja jina lake,.
Hapo mama alikua anashangaa tu ila ni kama alishahisi kuwa pale hali ya hewa sio nzuri kwa upande wangu.
Baadae nikaanza kuwaeleza uongo wangu,kutokea A hadi Z,kuwa yule binti nilikutana nae chuo,tukaanzisha urafiki wakati tukiwa huko chuo,baadae mm nilimaliza chuo na kumwacha pale na hapo ndio tulipopotezana kwa miaka kadhaa hadi nilipokuja kuajiriwa na kampuni hio ninayofanyia kazi ndio nikamkuta pale na wote tukashindwa kujizua tukajikuta tuna ingia kwenye mapenzi bila kujua kama tunawaumiza wenzi wetu,niliongea porojo nyingi sana na baadae nikaanza kuomba msamaha kwanza kwa Mungu,pili kwa mke wangu,tatu kwa kumwaibisha mama na kumsumbua ,na mwisho kwa shemeji yangu,niliongea sana cku ile,baadae mama akaanza kuongea nae akatukanya kabisa kuwa tuachane na hayo mambo yaliopita,km ni mapenzi yetu bac yabaki kuwa historia.
Na kisha akapewa nafac ya kuongea yule binti mchepu wangu,....
Mtt wa watu akaomba sana radhi kwa mke wangu na kwa mama pia,akasema ameshajifunza na hatorudia tena,...
Mwisho akaanza kuongea wife,...aliongea huku analia,akashtaki mambo mengi sana kwa mama,na akamwambia mama kuwa hana uhakika kama mm nitaachana na yule mwanamke,....mm nikawakikishia wote kuwa uhusiano ushavunjwa rasmi na hakutakua na tatizo tena,...
Kila MTU pale aliongea anavyojua na kila MTU mwenye kinyongo akatema nyongo pale,....baadae tukayamaliza na kupeana mikono na kila moja akakamata njia yake,.mimi na wife haaoo nyumbani,.
Kufika home nilikua najiongelesha kwa kujipendekeza kwa wife balaa,Mara nikamletee juice ,Mara soda,Mara maziwa fresh Mara kukaa kidogo nikachombeza na kupiga game moja matata hatari,..unaambiwa toka nimuoe cjawah kupiga show kama ile,...ilikua show ya kujipendekeza na kumfanya achangamke.....Na alichangamka kweli.
Baadae ananiambia na nikuone tena na huyo Malaya wako kama cjakuachia nyumba yako uendelee nae,....akani tight hadi nikatoa ma password na ma pattern yote kila kona nilipoweka.
Akawa na amani,
Siku hiyo tukalala tukipigana mzigo ucku kucha,kiukweli nilichoka sana,kulala ucngiz ilikua SAA kumi kasoro.Nikaamka asbh nimechoka hatari.Ila amani ilirudi vzr.
Nikajiandaa chap chap nikawahi kazini.
Mwanamke yule alivyo na roho ngumu akaniwahi ofcn kwangu na kuniuliza...eti vp imekuaje?
Nikajibu amani imerudi.
Nikamwomba asipige cm yangu wala kutuma text maana password zote nimetoa.
Eti anasema atajitahidi japo cjui km ataweza,anasema kuniacha hatoweza,akaniomba sana tusiachane,eti utamu wa penzi nililompa kamwe hawezi kuliacha likapita hivi hivi,anasema mm ndo nimemrudishia furaha yake na hata ndoa yake ina amani maana mumewe hamkati kiu lkn mimi namkata kiu na akirudi kwa mumewe amani imetawala,...
Nikamwambia kwako amani imetawala ila kwangu kunayumba.
Akanibembeleza sana kuwa hatatuma msg wala kupiga cm yangu ,eti mimi ndo niwe namtafuta nikiwa na nafac,akasema tutakua tunapanga mipango yetu tukiwa pale ofcn na tukitoka tunaenda kutinduana kisha kila MTU anarudi kwake kimya kimya,...
Unadhani niliweza kukataa??...naanzaje kumkatalia mtt mzr,mtamu,mnyenyekevu,mtulivu,ananiheshimu,kiukweli ckuweza.
Nilipokubali kuwa kweli mtt kakolea ni kwamba cku akihitaji penzi anagharamia hadi lodge yy mwenyewe, yani tukikutana lodge Mara kumi bac yy analipa Mara 6 na mimi Mara 4,kuna cku anakuja asbh na vocha ya elf 10 ananiambia nijiunge kifurushi cha mwezi,Mara aniletee suruali na shati mpya kabisa,size yangu anaijua.kifupi duka LA yule jamaa nimelila saana.
Tuliendelea na mapenzi ya siri kwa siri bila MTU kushtuka kwa miaka kama miwili HV,baadae tukaja kukorofishana nikapiga chini jumla,sababu za kukorofishana ni nyingi,ila sio za kucheat,ni vitabia tu vya ajabu ajabu km kutuma msg nikiwa home,Mara kutaka kunibusu na kunikumbatia kila mahali hadi ofcn wakagundua kuwa nakula.
Mwisho wa yote nikaona hapa kuna kuja kufirw*.nikapiga chini japo ilikua kwa mbinde lkn hatimae ikapita miezi nae akazoea.alizoea japo huwa haipiti wiki au wiki 2 asinambie kuwa ameimic mb** yangu na Kuniomba nimuonjeshe ila nilikuwa mgumu hadi akazoea.
Huyu mwanamke nahic alinitia gundu kwa wake za watu,yy ndio alinifungulia mlango wa kutembea na wake za watu.
Ikapita miezi kama minne nikiwa sina mchepuko Mara cku moja naona cm yangu inaita,namba ngeni, siijui kabisa.kupokea nasikia sauti ya kike,kuuliza nani mwenzangu?,akajibu mm Sauda,(sio jina lake halisi)
Nikauliza sauda wa wapi?,akanijibu jmn umenisahau sauda mapenzi wako wa miaka ya nyuma tokea chuoni tulipokua tunasoma?
....Nikurudishe nyuma kidogo.........
Kipindi nipo chuo nasoma kuna binti mmoja alikuja first year mimi nikiwa second year,huyu binti alikua mdogo sana kiumri,alikuwa mrembo kweli kweli,na alionesha Kunipenda sana,mimi ckua na mpango nae hata kidogo,nilimchukulia kawaida tu japo yy alionesha kunipenda sana,nilikuja kutambua kuwa ananipenda baada ya kumtuma rafiki yangu mmoja aniletee kadi ya Valentine, taratibu nami nikaanza kumuingiza akilini,nikaona nisipoteze hii babati ya mtende,mtt kajileta mwenyewe halafu nimwache hivi hivi?....itakua ngumu.
Nikamwomba tukutane weekend moja mjini,akakubali.jumapili ikafika tukakutana mjini mahali moja tukawa tunapata soda taratibu,nikaanza maongezi,..
Mwanaume nikapiga sound zote cha ajabu Sauda akachomoa,imba imba na wewe mtt wapi,ingiza vocal piga na mixing Sauda kachomoa,nikamshangaa sana yule mtt,cku zote anaonyesha Kunipenda tena sana,hadi washkaji wananiambia kuwa mtt ananipenda,Leo hii naamua kuweka maneno mezani tuyajenge eti kenyewe kanachomoa,.kanasema eti yy bado mdogo sana na anaogopa kuingia kwenye mahusiano,...akanipa option mbili,moja tuishi kwa kuheshimiana kama kaka na Dada na akaahidi kunipenda na kuniheshimu kama kaka yake na option ya pili akanambia kama kweli Nina mapenzi ya kweli kwake basi nimsubiri hadi amalize chuo ndio tuanze mahusiano,ila kwa sasa hayupo tayari.
Nikaona haka katoto kananizingua,yani nimsubir miaka miwili mbele halafu ntaishije bila kapu manyoya?
Nikajibu kwa mkato kuwa nimechagua tuwe km kaka na Dada kisha nikanyanyuka bila kuaga nikasepa.Cha ajabu bado hakukoma kunisumbua pale chuoni,kila Mara anatuma text Mara nimekumisi Mara nimemchunia,Mimi nikawahi sina habari nae tena.
Nikamaliza chuo nikaingia mtaani kuparangana nikiwa nisha badilishaga hata line,nikapata mtt na heshima zake nikaoa,Mara nikapata kazi nzuri,Mara nikapata mke wa MTU nikala karibu miaka miwili nikaacha,nikatulia tena na ndoa yangu Mara Leo anakuja kunitafuta cjui kapata wapi namba zangu.
Nikaona Mungu wangu,Yale niliyodanganya cku ile kuwa yule mke wa MTU tulianzia chuoni tuakutana tena uraiani ndio haya yanakuja kutokea kiukweli kweli sasa,Sauda akanambia kuwa yupo pale mjini kwetu na ameambiwa kuwa na mi nipo nafanya kazi mahali na nimeoa,nikajibu ndio nimeoa,akanambia hata yy pia ameolewa na mwalimu wa shule na ana mtt mmoja wa kike,...akanambia amekuja na mume wake kwao kwa mumewe na akaomba tuonane cku hiyo jioni.
Nikamkubalia na jioni kweli tukaonana,ckua na mengi sana ya kuongea nae zaidi yy ndo alikua muongeaji sana,akaniomba sana nimsamehe kwa kunikatàlia kuwa wa penzi kipindi tunasoma,akasema ilikua ni utoto tu na sasa anajuta maana Leo hii yy ndo angekua mke wangu. Aliongea sana cku ile na akaomba msamaha sana hadi nikajikuta nalainika na kuingia line mazima,cku ile nikapiga Sauda na kuanzia cku hio hadi Leo bado napigaga Mara moja moja tukionana maana yy anaishi mkoa mwingine.nimepiga sana Sauda hadi mimba akabeba ikabidi aitoe maana mtt atatoka mweusi tii kama mimi nilivyo,na yy na mume wake wote ni weupe pee,na mtt wao pia mweupe,Sauda ikabidi aichomoe kwa hofu.(Mungu nisamehe).....ckuishia hapo kwa sauda......
................
.........inaendelea baada muda mchache.