Copy and paste :
𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗡𝗖𝗛𝗜𝗠𝗕𝗜 𝗔𝗠𝗘𝗥𝗨𝗗𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗬𝗨𝗠𝗕𝗔𝗡𝗜, 𝗞𝗪𝗔 𝗡𝗜𝗡𝗜 𝗕𝗔𝗗𝗢 𝗬𝗨𝗣𝗢 𝗠𝗜𝗦𝗥𝗜?
Na Abbas Mwalimu
(0719258484)
Jumamosi tarehe 30 Septemba 2023.
Taarifa ya vyombo vya habari ya Alhamisi tarehe 28 Septemba 2023, ilimuonesha Balozi wa Tanzania nchini Misri, Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa...
faida ni umoja wetu na kuongeza ukubwa wa eneo la Bahari lililoko Chini ya mamlaka ya Tanzania.
Kwa nini wa Swahili tuheshimu mipaka ya wazungu na kuiabudu Wakati tukiweka mipaka yetu mipya kutwa kucha tunaipinga
umasikini wa akili na uwezo Mdogo wa kuelewa wa africa huwa kila kifo kina kuwa na mkono wa mtu , tena vijijini ndui mbaya Maana wnaa Singu is wazee. Maswali yote yana majibu , Gari kubakiza plate number ajabu ni nini ikiungua. Una uhakika gani familia haikuwa imetoa taarifa kabla ya Serikali...
Hapana kwa kweli Jpm lazima alindwe kwa kuwa maadui ni wengi snaa. Kuna jamaa mmoja namjua ametoa dola laki 6 ili asaidiwe kutoka jela. Huyu mtu na wengine wa jamii Yao wanaachiwaje kumlenga rais wetu. Mie simkubali sana lakini ulinzi wake ni wa muhimu sna kwa sasa . Na kanisa linapaswa kuunga...
Nadhani bado ni aibu kwa serikali inaposhindwa kesi za ndani kutolipa. Hapa ni kuwa serikali haijashinda kesi. Ila serikali inajaribu kukwepa wajibu wake kwa kulipa malipo halali ya watu. Ni aibu kubwa kwa serikali kutofimiza wajibu wake . Na hawa wanajua kukazia hukumu na mahakama za tanzania...
Ni ujinga sana kuwa na wabunge wa upinzani kufanya makosa ya kijinga kiasi hiki. Jamaa kapoteza almost mwaka mzima wa Ubunge. Hawezi kushinda uchaguzi anajua vema . Prematurity mind ni shida. Kiongozi wa upinzani anakuwa wap wabunge wake wanavunja kanuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma kwa makini sna hoja za lissu, nachoweza kusema ni kuwa wajibu wa Chama tawala ni kujali pia sauti za wanaowaongoza. Kama Nasari alichaguliwa kwa haki. Wanaumiaa nini kungoja kamwaka kamoja tu amalize muhula wake. Kwa nini wanadharau gharama za uchaguzi Katika nchi masikini kama hii...
Zitto Nina historia ya kutomkubali siku nyingi, na sababu kubwa ilikuwa namna ambavyo amekuwa akijaribu sana kujiweka karibu na watawala. Nashangaa ata sasa Maalimu Seif kujiandaa kujiunga naye wakati 2016, baada ya ushindi wa Seif kupokwa, ni yeye peke yake aligoma kutoka bungeni kupinga...
As far as I know kuna ukatili mwingi snaa unafanywa na walimu. Hii ni ndogo sana ukiangalia na hali halisi. Walimu wengi hasa public school wanahitaji maombi, kama hawajawazira wanafunzi basi wanawafanyia ukatili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.