Dah..pole sana..mim pia yamenikuta ..juz kuna dada mmoja nimejuana nae fb...yaani mwanzo tu wa maongez ananiomba 20000. ..eti ni mda wa lunch .. akaniahidi kunipatia anavotoka ...nikasema hii kmamata mwizi sasa . Nimwendo wa kumbrock kabsa.
Mpe tu preg. ..then endelea na ndoa yako coz ukimpa nafas ya kuwa mke huyo ataweza kukuharbia upande wa pili wa huyo mke wako wa kwanza.na daima hizo nyumba ndogo kwa kujitutumua na kuichukua nafas ni hawajambo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.