Recent content by Kim Don

  1. Kim Don

    Huyu dada kiukweli nimeshindwa mimi, wanawake wa kizazi hiki kwanini?

    Dah..pole sana..mim pia yamenikuta ..juz kuna dada mmoja nimejuana nae fb...yaani mwanzo tu wa maongez ananiomba 20000. ..eti ni mda wa lunch .. akaniahidi kunipatia anavotoka ...nikasema hii kmamata mwizi sasa . Nimwendo wa kumbrock kabsa.
  2. Kim Don

    Queen Elizaberth ampokea Rais Obama akiwa kavaa headscarves - In Islam, hijab; Yazua gumzo

    Kutiana presha tu bwana...anajikinga na barid tu hapo .
  3. Kim Don

    Je nimuoe au nimzalishe tu?

    Mpe tu preg. ..then endelea na ndoa yako coz ukimpa nafas ya kuwa mke huyo ataweza kukuharbia upande wa pili wa huyo mke wako wa kwanza.na daima hizo nyumba ndogo kwa kujitutumua na kuichukua nafas ni hawajambo .
Back
Top Bottom