ktk watu wenye akili nawe upo? kwenye paund umelishwa usichokijua nijuwavyo Taifa la kwanza kwa uchumi imara ni America ambao wana akiba ya kihuduma ikiwa taifa lao litapata matatizo ya 50yrs pia taifa lolote lenye uchumi mzuri maisha ya watu wake ni lazima yawe mazuri kielim na n.k sasa eti...
mbona bado pesa yenu ni madafu?? uchumi gani unaokuwa na kuporomosha T sh??upuuzi huu ksh 1=na Tsh 22 kisha uchumi unakuwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitangaze mali zangu ili vilaza wa chama cha kijani mdai nimepata kwa ufisad au nimepewa Rushuwa wakati wa utafiti hivyo siwezi kusema niko na nini ila hicho ni kisent kidogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kiukweli jamaa anawatesa kweli hiyo kada ya watumishi mara awatimue mara asitishe ongezeko yaani huyu kiumbe pamoja na anayojitangaza kuyafanya anachosha kweli wanyonge wanataabika kwenye utawala huu kuliko kipindi chochote mbaya zaidi wakuu wa idara wanaishi kama malaika
msoyojua mkuu wa...
Tundu hatumii dawa ya aina yeyote hata sigara hatumii nimekaa naye Alabama America wakati anafanya utafiti wa kisheria chumba kimoja miezi saba sijaona hata akivuta sigara sasa nyie mnaosema kama anatumia unga kwanini msimuhisi na vitu vingine?
siku zote tundu ni mkweli na akisimamia ukweli...
Yaahayu yaaqayuum wewe ndio umemuumba aliyoandika taarifa hii Nakuomba kwa idhini yako mbadilishie hiki anachomuombea msema kweli na mtetezi wa walalahoi katika siasana kisheria ili utuondoshee maadui wanaojificha kwa watawala Yaa haayuu muuwe kiumbe hiki ili umma upate salama amiin ;Natoa wito...
Yaa haayu yaa qayuum wewe ndio umemuumba aliyeandika hiki kwa idhini yako Nakuomba muondoe katika Dunia hii ili iwe fundisho kwa wengine kushabikia maovu yanayofanywa na watawala ameen,natoa wito kwa watu wa haqi kuitikia amiin
Sent using Jamii Forums mobile app
msimamo wake unanafuu hata hawa vinaraka wanachemka maana baba yake mwenyewe alikuwa anaipenda haqi na alipenda zanzibar iwe huru ndio maana akaleta serikal ya umoja wa kitaifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite ni msajili wa makampuni?kwani Bashite ni Nani hadi awachagulie ITV nini cha kutangaza?Nadhani yeye bashite aendelee kuwa msemaji wa police na awe waziri kivuli wa mambo ya Ndani kama anavyofanya akifikilia kuendeleza fujo na waandishi itamtoa kwenye ulingo wa siasa zake anazoziandaa...
si huko tu hiyo ni kero ya Tanzania yote hivi sasa baadhi ya police wanafanya mambo mabaya mengine nimeyaona live nashindwa kuelewa mifumo yao.
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.