Siment siku zote inakua na mwisho wake yaani expired wakati udongo hauna mwisho ama expired date, kwa hiyo tofali za udongo - kuchoma ni bora zaidi kuliko za siment
Vema ukajaribu bal tupatie short report baada ya safari yako, ukisha kaa kwa muda then baada ya hapo binafsi nitaku na mengi ya kuchangia kwa kua binafsi sio muumin wa wale wanaotoka nchini kwenda kujaribu life sehemu nyingine, tukutakie safari njema
Ni kweli hapa kazi tu na kazi ndo imeshaanza, mamabo yako mahakama za kimataifa kwa kuwa tumejifunga midomo na kitanzi katika mahakama zetu za ndani, sasa kazi tu pale uholanzi tukiongozwa na mawakili wetu wazalendo wa Chadema, haki ikitendaka slogani iwe kazi tu kuchomoka na kupisha wale wenye...
Rasi ni yule aliyechagiliwa kwa kura nyingi za watanzania,kwamba kura nyingi zimekwenda kwa Lowassa kama Raisi wa Tanzania, tutaendelea kumtambua kama rais aliyeporwa Ushindi na muda ukifika bac atakuwa raisi wa halisia wa Taifa letu kwamba sauti ya wengi ni sauti yangu na kama alichaguliwa kwa...
Naombeni ushauri wa kisheria wanajanvi kwa mtu yeyote mwenye upeo katika hoja zifuatazo; Kwamba kufuta uchaguzi zanzibar na huku tuna majumuisho ya Kura watu wa Zanzibar kwaa maana ya matokeo yalio kwisha tangazwa na NEC;Endapo tutashindwa kuzifuta kula za wanzanzibar na kuziasha ziendelee kama...
Kwa kufuta uchaguzi zanzibar maanake ni kwamba zile kura zilizojumuishwa kwenye wagombea wetu wa Uraisi zinakua batiri, uhalali unakujaje kuzibakisha huku tukijua ya kwamba ZEC imesha futa uhalali wa kura hizo, Hii maanake ni kwamba tunapaswa kuzitoa kwenye kula za majumuisho ya wagombea wetu...
Hii ndio hofu ya Utawala dhalimu unaokwenda kudondoka, no mater what you are trying to do, stopping it raining, lazima itanyesha tu na hakika watanzania wanakwenda kuwadondosha kwa sanduku la kura, kubalini matokea inchi Isonge Mbele Lowasa ndo raisi wetu haya ni maneno ya Watanzania walio wengi
Ni miezi michachache iliyopita tumeshuhudia wanachama wa CCM wakivuruga katiba iliyopendekezwa na watanzania,walijifungia ndani nakufumua maoni ya katiba ya Warioba yenye vionjo vya matakwa ya watanzania, tena bila aibu wametafuna na mabilioni ya pesa ya watanzania walipakodi bila huruma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.